Bomoabomoa Tabata Kinyerezi haikwepeki

Matungiza

JF-Expert Member
May 6, 2017
523
335
Shughuli za ubomoaji wa nyumba ili kupisha ujenzi wa miundombinu ni jambo muhimu sana. Kuna baadhi ya maeneo jijini Dar ni lazima shughuli hiyo ikafanyika mapema bila kupoteza muda.

Maeneo muhimu ambayo yanapaswa kubomolewa na wenyewe kulipwa ni njia ya Tabata relini hadi Segerea na Majumba Sita hadi Kinyerezi Mbuyuni.

Ubomoaji huo utasaidia kuondoa foleni kali katika njia hiyo muda wote. Tunaiomba Serikali kutupia macho eneo hilo na kama inawezekana hata kesho shughuli hiyo ianze.
 
Hii barabara ya Tabata from Relini to Majumba Sita ni hatariiii kwa foleni..

Ubomoaji wa haraka sana unatakiwa.. Haraka sana i repeat
 
Watu wanafiki sana!!!
Zikibomolewa za ufukweni shangwe na vifijo ila hao wa mabarabarani mnajitia utuwema
 
Hiyo barabara haina miaka kumi, wakazi na waliojenga pembezoni mwa hiyo barabara wakae mkao wa kula. Tabata Relini-- Segerea hadi Majumba sita kwa sasa ina foleni ya kutisha.
 
Tutabomoa tu bila kupangia bajeti au kuna mtu una mchukia unataka abomolewe nyumba yake sioni ulazima wa meeneo haya yana bara bara mbovu ndio maana unakutana mafoleni makubwa
 
Back
Top Bottom