Bomoabomoa: Leo hakuna usingizi, kesho ni vilio

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Nov 25, 2010
6,137
17,908
Tarehe 5/1/2016 imepiga hodi. Imefika. Bomoabomoa kurudi tena kuanzia kesho. Usiku wa leo, wakaazi wenye nyumba zenye alama ya 'X' hawatalala usingizi. Utakuwa usiku mfupi na usio na ladha ya pipi. Usiku wa kusubiri kubomolewa makazi.

Leo, usiku utakuwa wa kujiulizauliza na kujiandaa kujiliza hapo kesho na kuendelea. Usiku wa kukumbukwa. Usiku wa kuwaza kilichotokea hadi kitakachotokea kuanzia kesho. Usiku wa leo, watailaumu na kuilaani Serikali na watendaji wake wote bila mafanikio.

Utakuwa usiku wa kujiapiza na kupania kutochagua tena hawa mwaka 2020. Lakini, usiku utasahaulisha kuwa watanzania ni wepesi wa kusamehe na kusahau. Waungwana. Kesi kujaribu kusimamisha ubomoaji huo inaunguruma muda huu Mahakama Kuu Kitengo cha Kazi. Jaji Kente amebaki mwokozi pekee.

Usiku mfupi na wa kuweka kwenye diary!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
 
Last edited:
Sawa, naona nyie msio bomolewa mmekopa na kufanikiwa kuongeza wingi wa vyumba vya kupangisha eeh?. Ongera sana.
 
Kwani mbunge wa eneo hilo si kaenda kufungua kesi kuzuia, imeshasikilizwa? sababu alisema ni leo mahakamani.
 
Sikio la Kufa.........; kwenye zoezi hili naiomba sana serikali isirudi nyuma
 
Tarehe 5/1/2016 imepiga hodi. Imefika. Bomoabomoa kurudi tena kuanzia kesho. Usiku wa leo, wakaazi wenye nyumba zenye alama ya 'X' hawatalala usingizi. Utakuwa usiku mfupi na usio na ladha ya pipi. Usiku wa kusubiri kubomolewa makazi.

Leo, usiku utakuwa wa kujiulizauliza na kujiandaa kujiliza hapo kesho na kuendelea. Usiku wa kukumbukwa. Usiku wa kuwaza kilichotokea hadi kitakachotokea kuanzia kesho. Usiku wa leo, watailaumu na kuilaani Serikali na watendaji wake wote bila mafanikio.

Utakuwa usiku wa kujiapiza na kupania kutochagua tena hawa mwaka 2020. Lakini, usiku utasahaulisha kuwa watanzania ni wepesi wa kusamehe na kusahau. Waungwana. Kesi kujaribu kusimamisha ubomoaji huo inaunguruma muda huu Mahakama Kuu Kitengo cha Kazi. Jaji Kente amebaki mwokozi pekee.

Usiku mfupi na wa kuweka kwenye diary!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

Hekalu la Uto litabomolewa lini?
 

Attachments

  • HEKARU LA CAG KUBOMOLEWA..jpg
    HEKARU LA CAG KUBOMOLEWA..jpg
    53.8 KB · Views: 52
Tarehe 5/1/2016 imepiga hodi. Imefika. Bomoabomoa kurudi tena kuanzia kesho. Usiku wa leo, wakaazi wenye nyumba zenye alama ya 'X' hawatalala usingizi. Utakuwa usiku mfupi na usio na ladha ya pipi. Usiku wa kusubiri kubomolewa makazi.

Leo, usiku utakuwa wa kujiulizauliza na kujiandaa kujiliza hapo kesho na kuendelea. Usiku wa kukumbukwa. Usiku wa kuwaza kilichotokea hadi kitakachotokea kuanzia kesho. Usiku wa leo, watailaumu na kuilaani Serikali na watendaji wake wote bila mafanikio.

Utakuwa usiku wa kujiapiza na kupania kutochagua tena hawa mwaka 2020. Lakini, usiku utasahaulisha kuwa watanzania ni wepesi wa kusamehe na kusahau. Waungwana. Kesi kujaribu kusimamisha ubomoaji huo inaunguruma muda huu Mahakama Kuu Kitengo cha Kazi. Jaji Kente amebaki mwokozi pekee.

Usiku mfupi na wa kuweka kwenye diary!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

Mzee umejichanganya hapa, "kusubiri kybomolewa" na "bado kuna kesi"
 
wabomoe tu kwani tumewachoka kulia lia kwa serikali iwape ifadhi , sio wakuonea huruma maana wengine walizinunua nyumba makusudi.
 
mi nawaomba tu watoe vitu vyao maana wakitaka kushindana nao watapata hasara bure, sijaona serikal inaongoza kwa kutaka sifa kama hii, so sad!i
 
mi nawaomba tu watoe vitu vyao maana wakitaka kushindana nao watapata hasara bure, sijaona serikal inaongoza kwa kutaka sifa kama hii, so sad!i

Walivyo na akili mbovu wengi wao wapo wanalalamika humu jukwaani badala ya kuhamisha mizigo yao
 
Kwahiyo mkuu waliachiwa wale sikukuu ya xmas na mwaka mpya kwanza?
Hii inanikumbusha kitabu cha "This Time Tommorrow" cha Ngugi Wa Thiong'o kama sikosei
 
Masikini hatuna heshima mbele ya serikali
Wezi na wabadhilifu wanapewa muda wa kutosha kurudisha waliyoiba but sisi tunapewa siku mbili@#@#@#@#@#@#@#@#@#@#@#@#@#@#@##@#@@@@@@@@$$%&&-+))+%$#%&-+()&$**;!?;"*¢€=^¢¢®°™©¢"'-:*\^¥¢¢^=÷Π`~•÷×∆∆¶√||``√÷×Π•|||•√√|•|√√÷÷××∆∆×÷Π√|©^¥€£®℅,][℅®©®¥€¢¢©\<>>\€¥°^><©®™©\#%#%-+;;+
 
Back
Top Bottom