Inasikitisha sana... Pole mkuu.... na hao vibaraka wanaotumwa nahsi asilimia kubwa ni wapangaji hapa mjini... hawajui uchungu wa nyumba... polisi nao kwasababu wanaishi kota ndo kabisa hawaelewi uchungu wa nyumba...
Tupeane moyo... shida zina mwisho pia...