Magombelema
Member
- Oct 11, 2011
- 15
- 4
Nimeumizwa na kitendo cha serikali kuwabomolea wananchi jumbazao huko dodoma eti kumpisha mwekezaji.Nimemsikia mama mmoja kwenye taarifa ya habari ya ITV akilia baada ya nyumba yake kuvunjwa huku akisema amani Tanzania haipo.Hii inamaana gani?