Habarini za mchana, wale wa mororgoro road kuanzia stop over na waliondani ya mt 90 za barabara rejeeni nyumbani huku wameanza kubomoa
Kwani bomoa bomoa imefanyika moshi?Wachaga poleni
mkuu nina imani auna hata tofari yani kuvunjiwa kuunguliwa nyumba usioombeAchatu wabomoe kumaliza tatizo la foleni! Yaani unaweza kuwa maili moja saa kumi na mbili jioni lkn ukafika ubungo SAA tatu tumechoka adha hii
Miaka miwili alafu iweje, kwa taarifa yko tu ni kwamba hyu bwana ataongoza kwa zaidi ya miaka ata 30,mzee wetu mwinyi alishaligusia hilo, tunza maneno yangu tuu ila ifikapo 2019 utakuwa umeelewa.
Ni kweli manispaa zote zinaendeshwa na chademaWaache si ndio chama walichochagua!
Mkuu anataka akisimama mbezi aione msoga bila kikwazo.Hii bomoa bomoa haiko rasmi nilikuwepo sehemu ya tukio na nikafanikiwa kuongea na baadhi ya wahusiki na kwa majibu yao leo walikua wanatoa salam tu kwa nyumba zote zenye x na ni kama tangazo kua kuanzia leo siku yoyote watakuja kubomoa, na kwa nyumba amvazo tayari watu walishabomoa nyumba zao na kuacha baadhi ya kuta ndio wakikua wanamalizia kuibomoa, wakasema siku wakija hawataruhusu mtu kutoa kitu hata kimoja ndani hivyo watu wahame wenyewe..
Kuhusu kesi ni kweli kuna kesi mbili za malalamiko ya bomoa bomoa, Moja ikiwa ipo katika hatua za awali na nyingine ni keshi ya msingi ambayo inangoja kupangiwa siku ya kutajwa.
All in All tumuombe Mwenyezi Mungu maana ni watu wengi sana watakao athirika kwani ni mita 122 kila upande.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tusifanye kosa kumuondoa,maana kama chamaWasikosee tena wakumchagua
from Katesh using Siemens C55
Achatu wabomoe kumaliza tatizo la foleni! Yaani unaweza kuwa maili moja saa kumi na mbili jioni lkn ukafika ubungo SAA tatu tumechoka adha hii
Better late than never,thank you dearHappy birthday ingawa nilichelewa
2 + 5= 7
Tunazungumza mengi kwa kuwa hayajatukuta sisi...na hatufahamu issue hapo barabara ya morogoro kwanini watu wanalalamika....hakuna hata mwananchi mmoja aliyejenga ndani ya mita 30 upande mmoja ambaye anapinga kubomoa na wengi tayari wameshabomoa au walibomolewa..issue ni mita 121.5 sawa na kiwanja cha mpira kila upande wa barabara kwa maana hiyo barabara inatakiwa kuwa na upana wa mita 242 kutokana na sheria ya mwaka 1932...na hao wanaobomolewa hawalipwi fidia yoyoteSiku nyingine muwaulize vizuri watu wa mipango miji ...kabla ya kujenga
huu utamaduni wa kujijengea hovyo hovyo ulitamalaki mno dont dare again
to bypass mipango miji office.
Nimependa avatar yako binti,kama hujaolewa hiyo ndiyo iwe your aspiration,please don't change.Mungu akubariki sana.Acha hizo weweee!Ingekuwa wewe unataka kujenga barabara ungejenga wapi,hewani?Acheni unoko.
Sent using Jamii Forums mobile app