Bomba La Mafuta: Total SA yasitisha rasmi mpango wa kujenga bomba la mafuta la Tanga-Hoima

Ndugu yangu kama wewe ni mfuatiliaji wa hao majirani utakumbuka kwa sasa Kenya sasa hivi wanajenga SGR kwa speed ya kuelekea kwa Odinga ambapo M7 alienda kukagua hiyo kitu.
Mmawia kuna shutuma kuwa uhuru ana wa finance wapizani wa M7, niliwahi kuogea na Mganda mmoja akaniambia shutuma hizo zinafukuta kweli kweli lakini chini kwa chini, sidhani kama wanaweza kupitishia huko
 
Naona una mihasira sana kanywe sumu basi tujue umekasirika maana nguo ya kuazima haisitiri matako
Utoto nao ni shida, kama ilivyo shida kufikiria nje ya akili za kawaida "deal la total lisipo kuwepo haimaanishi kwamba project imekufa kwani inaweza kufanya na kampuni zingine"
Haya nenda ukapige"polishi" kama sio kuchoma "mishikaki" usije ukakosa hela za kulipa "saccos"
 
Serikali ya Ug iwape muda wa kulipa hio tax kwa awamu kuliko wao kujitoa kwenye mradi au hio option pia wameikataa?
Hapo sasa kwakweli sielewi kinachosemwa pande zote mbili zimeridhia kulipa kodi sasa kama ni instalment or lump sums I am not certain. However what is clarified that position is not the cause of stalemate.

Kinachodaiwa kama msingi wa mzozo sio kodi bali ni social investment za mazingira na miundombinu kwenye hilo eneo even that is not elaborated in details.
 
Shukrani sana mkuu, hiyo solution B nimeielewa sana.
Tatizo ni Tullow na serikari ya Uganda position.

Tullow hiyo hela kwa sasa hawana, kwa sasa tu mradi wao wa bomba la mafuta Kenya unasuasua imebidi waanze kuuza mafuta hili wa fund investment zao (something tells me mkataba wa Kenya na Tullow utakuwa wa ovyo sana).


Solution A ni serikari ya Uganda kukubaliana na investors kuwapa nafuu mradi uanze maana kama kodi wapo tayari kulipa hila hizo investment zingine serikari inazowapa ndio a stretch too far.

Solution B serikari ya Tanzania iache kusubiri vya bure, kwa sababu kuna economic benefit nyingi za mradi kama ajira, port kuwa busy, tozo ya kupitisha mafuta etc. Ikae na investors wajue exactly wamekwama wapi ikibidi waingie mkataba nao wachangie kama $50-100m provided wapewe tarehe maalum mradi utakapoanza, uhakika hakuna kuamisha mradi na hao wawekezaji wakishindwa kutekeleza makubaliano warudishe hela na fidia juu.

That’s my take it doesn’t mean there aren’t other better solutions.
 
Sakata lipo hivi

Wabia watatu Tullow, CNOOC na Total wanashare sawa za asilimia 100 kwa upande wao ambazo zimegawanya kwa 33.3 kwa kila na wanamajukumu sawa ya kufanya investment za production including gharama ya hilo bomba la mafuta.

Tullow hana interest ya kutumia hela yake kufanya hizo production investment na ndio chanzo cha mradi kusimama.

Katika harakati za kunusuru mradi waliamua kuuza share zao 22% (or something) kwa wabia waliobaki na sehemu ya malipo itumike kwenye huo uwekezaji kutokana gharama watakazotakiwa kutoa with the remaining shares.

Walikubaliana watauza hizo share for $900m

Malipo yenyewe ni kwamba watalipwa $100m kwanza, $50m bomba likimaliza na $50m mafuta yakianza kuuzwa.

Na $700m inayobaki itatumika kama sehemu ya mchango wao kwenye investment za production.

Serikari ya Uganda inachotambua ni kwamba Tullow kauza share zake na atalipwa $900m hawana interest na makubaliano yao mengine kwa jinsi watavyolipana. Hivyo kutokana na hayo mauzo kuna capital gain tax ya $167m ambayo wanadai soon as transfer of shares take place.

Kutokana na makubaliano yenyewe ya malipo Tullow ndio kwanza anapewa $100m na hizo nyingine baadae wasingeweza lipa hiyo kodi immediately.

Wabia wakakubaliana kumalizana na serikari Tullow atoe $85m na wao wanamalizia $82m.

Lakini katika hayo hayo mauzo au sehemu ya malipo ya kodi on top of $167m capital gain tax serikari ya Uganda inataka wabia wajenge na miundombinu ambapo Tullow ataki na wabia awataki.

Na waliwekeana deadline ikifika muda fulani kama option ya kuuza share aijafanikiwa Tullow itabidi atafute hela yote ya uwekezaji wa production abaki na share zake. This might come to over $1 billion if not close to $2 billion.

Hapo walipo Tullow as a company wanadeni la zaidi ya $2.4billion kwenye balance statement kwenda kukopa tena bank kiasi kikubwa kwenye investment ambayo itachukua miaka that is not in their interest kama wana commitment zingine za aina hiyo kwenye miradi yao mingine mikubwa zaidi duniani.

Kwakuwa hawana hiyo hela kwa sasa nadhani ndio itakuwa sababu ya mradi wenyewe wote kusimamishwa mpaka waje na plan nyingine ya kuugharamia..
Huu ni ujinga kwani mwanzoni hawakujua hio miundombinu itajengwa na nani? Kwanini sasa iwe chanzo cha kukwamisha mradi?
 
Dua la kuku hilo kwa Kenya halita wapata
Fungua link niliyoweka kuna video sikiliza Kenya awatarajii kupokea hela ya mauzo kwenye mafuta yao mpaka 2024 au mwekezaji arudishe $2 billion zake za investment kwanza.

Sisi sheria zetu mnazoziponda za Prof Muhongo zilizopitishwa kwa hati ya dharura azitaki mambo hayo, ukianza kuuza tu kutokana na ukubwa wa kisima kuna mgao wetu hapo hapo hakuna kusubiri mpaka urudishe investment zako.
 
Hawa wasengEee kinoma mpk mipango yote inawekwa mezani na taratibu nyingi kufanyika na tena mpk utekelezaji kutaka kuanza walikuwa hawajawahi kukaa meza moja kuyamaliza hayo waliyotofautiana....sasa nimeelewa kwanini kesho M7 anakuja
Wenzetu hawatakigi mauzauza kwenye issues za msingi. Huu upuuzi mmeuzoea huku kwenu tu
 
Kwa hiyo bomba la Hoima hadi Tanga linaanza kujengwa kesho?
Fungua link niliyoweka kuna video sikiliza Kenya awatarajii kupokea hela ya mauzo kwenye mafuta yao mpaka 2024 au mwekezaji arudishe $2 billion zake za investment kwanza.

Sisi sheria zetu mnazoziponda za Prof Muhongo zilizopitishwa kwa hati ya dharura azitaki mambo hayo, ukianza kuuza tu kutokana na ukubwa wa kisima kuna mgao wetu hapo hapo hakuna kusubiri mpaka urudishe investment zako.
 
Huu ni ujinga kwani mwanzoni hawakujua hio miundombinu itajengwa na nani? Kwanini sasa iwe chanzo cha kukwamisha mradi?
Swali zuri la kumuuliza Museveni leo anapokutana na Magu, I am not in position kuwasemea Uganda wala wawekezaji kwenye hilo.
 
Isije ikawa mchezo wa mazingaombwe wanaotuchezea haya makampuni!

Uamzi wa kujenga bomba ulifikiwa kabla ya Tullow hata hajawa na fikra za kuuza hisa, itakuwaje sasa ndio liwe jambo la kufa na kupona katika ujenzi wa bomba?

Inawezekana Tullow na Total sasa wakawa wanatuchezea sarakasi?

Itashangaza sana wakilibeba tena bomba na kulipeleka lilikotoka! M7 naye akiingizwa choo hicho atakuwa juha mkubwa!

Museveni haya mafuta amehangaika nayo zaidi ya miaka kumi, hata senti tano hajaiona. Sasa wanamchezea akili kama mtoto mdogo!

Ifike mahali nchi hizi maskini ni lazima zikatae kuchezewa. Tuache kuweka matumaini mengi kupita kiasi juu kutegemea mali asili kama mafuta na madini kuwa tegemeo la kuzikwamua nchi hizi kutoka katika ufukara wa kutupwa. Kuna nchi kibao duniani zimeweza kupata maendeleo bila ya kutegemea mali asili. Kwa nini iwe tofauti kwetu?

Dawa ya makampuni kama haya ni kuweka sheria zinazowataka kuendeleza mali walizogundua katika muda maalum. Wakishindwa kufanya hivyo mali hizo zinarudishwa kwa wenyewe, wananchi. Makampuni yatafidiwa tu gharama zilizotumika katika kazi za ugunduzi.
Hatua hii itawatia akili kichwani.

Hawa wa kwetu na gesi na wao sasa hawana haraka. Wapo kama hawapo, huwasikii tena, hata mnong'ono, kwa sababu wanajua sheria zinawalinda hata ikichukua miaka ishirini, bila kujali mahitaji ya wenye nchi.

Tukisema eneo hilo sasa tunataka kulifanya liwe la kufugia samaki, watakataa kuruhusu?
Sera zenu za uwekezaji sio rafiki na salama. Kwa kifupi,hazitabiriki
 
Hapo sasa kwakweli sielewi kinachosemwa pande zote mbili zimeridhia kulipa kodi sasa kama ni instalment or lump sums I am not certain. However what is clarified that position is not cause the of stalemate.

Kinachodaiwa kama msingi wa mzozo sio kodi bali ni social investment za mazingira na miundombinu kwenye hilo eneo even that is not elaborated in details.

Dah!hawakuona hizo shida kabla mpaka mradi unapoanza ndio wanasema hivyo

Something fishy about this,ni vitu wanaficha pengine kuna mambo zaidi ya haya wanayoyasema juu juu
 
Sakata lipo hivi

Wabia watatu Tullow, CNOOC na Total wanashare sawa za asilimia 100 kwa upande wao ambazo zimegawanya kwa 33.3 kwa kila na wanamajukumu sawa ya kufanya investment za production including gharama ya hilo bomba la mafuta.

Tullow hana interest ya kutumia hela yake kufanya hizo production investment na ndio chanzo cha mradi kusimama.

Katika harakati za kunusuru mradi waliamua kuuza share zao 22% (or something) kwa wabia waliobaki na sehemu ya malipo itumike kwenye huo uwekezaji kutokana gharama watakazotakiwa kutoa with the remaining shares.

Walikubaliana watauza hizo share for $900m

Malipo yenyewe ni kwamba watalipwa $100m kwanza, $50m bomba likimaliza na $50m mafuta yakianza kuuzwa.

Na $700m inayobaki itatumika kama sehemu ya mchango wao kwenye investment za production.

Serikari ya Uganda inachotambua ni kwamba Tullow kauza share zake na atalipwa $900m hawana interest na makubaliano yao mengine kwa jinsi watavyolipana. Hivyo kutokana na hayo mauzo kuna capital gain tax ya $167m ambayo wanadai soon as transfer of shares take place.

Kutokana na makubaliano yenyewe ya malipo Tullow ndio kwanza anapewa $100m na hizo nyingine baadae wasingeweza lipa hiyo kodi immediately.

Wabia wakakubaliana kumalizana na serikari Tullow atoe $85m na wao wanamalizia $82m.

Lakini katika hayo hayo mauzo au sehemu ya malipo ya kodi on top of $167m capital gain tax serikari ya Uganda inataka wabia wajenge na miundombinu ambapo Tullow ataki na wabia awataki.

Na waliwekeana deadline ikifika muda fulani kama option ya kuuza share aijafanikiwa Tullow itabidi atafute hela yote ya uwekezaji wa production abaki na share zake. This might come to over $1 billion if not close to $2 billion.

Hapo walipo Tullow as a company wanadeni la zaidi ya $2.4billion kwenye balance statement kwenda kukopa tena bank kiasi kikubwa kwenye investment ambayo itachukua miaka that is not in their interest kama wana commitment zingine za aina hiyo kwenye miradi yao mingine mikubwa zaidi duniani.

Kwakuwa hawana hiyo hela kwa sasa nadhani ndio itakuwa sababu ya mradi wenyewe wote kusimamishwa mpaka waje na plan nyingine ya kuugharamia..
Thanks a million!
 
Wanabanwa na PSA kwenye utekelezaji na timeframe ya kila hatua. Suala la muda tu utasikia fine au kuna mdau mpya.

Lazima wamesha apply force Majeure. kuna kipengele kwenye PSA kinaruhusu hilo
 
Sakata lipo hivi

Wabia watatu Tullow, CNOOC na Total wanashare sawa za asilimia 100 kwa upande wao ambazo zimegawanya kwa 33.3 kwa kila na wanamajukumu sawa ya kufanya investment za production including gharama ya hilo bomba la mafuta.

Tullow hana interest ya kutumia hela yake kufanya hizo production investment na ndio chanzo cha mradi kusimama.

Katika harakati za kunusuru mradi waliamua kuuza share zao 22% (or something) kwa wabia waliobaki na sehemu ya malipo itumike kwenye huo uwekezaji kutokana gharama watakazotakiwa kutoa with the remaining shares.

Walikubaliana watauza hizo share for $900m

Malipo yenyewe ni kwamba watalipwa $100m kwanza, $50m bomba likimaliza na $50m mafuta yakianza kuuzwa.

Na $700m inayobaki itatumika kama sehemu ya mchango wao kwenye investment za production.

Serikari ya Uganda inachotambua ni kwamba Tullow kauza share zake na atalipwa $900m hawana interest na makubaliano yao mengine kwa jinsi watavyolipana. Hivyo kutokana na hayo mauzo kuna capital gain tax ya $167m ambayo wanadai soon as transfer of shares take place.

Kutokana na makubaliano yenyewe ya malipo Tullow ndio kwanza anapewa $100m na hizo nyingine baadae wasingeweza lipa hiyo kodi immediately.

Wabia wakakubaliana kumalizana na serikari Tullow atoe $85m na wao wanamalizia $82m.

Lakini katika hayo hayo mauzo au sehemu ya malipo ya kodi on top of $167m capital gain tax serikari ya Uganda inataka wabia wajenge na miundombinu ambapo Tullow ataki na wabia awataki.

Na waliwekeana deadline ikifika muda fulani kama option ya kuuza share aijafanikiwa Tullow itabidi atafute hela yote ya uwekezaji wa production abaki na share zake. This might come to over $1 billion if not close to $2 billion.

Hapo walipo Tullow as a company wanadeni la zaidi ya $2.4billion kwenye balance statement kwenda kukopa tena bank kiasi kikubwa kwenye investment ambayo itachukua miaka that is not in their interest kama wana commitment zingine za aina hiyo kwenye miradi yao mingine mikubwa zaidi duniani.

Kwakuwa hawana hiyo hela kwa sasa nadhani ndio itakuwa sababu ya mradi wenyewe wote kusimamishwa mpaka waje na plan nyingine ya kuugharamia..

Hapa sijui kwanini sijaelewa!! why are they selling shares to the remaining stakeholders and proceeds from the sale of shares get re-invested in the same project? Pascal Mayalla najua umesomea haya mambo naomba msaada.
 
Hivi majuzi kulikuwa na kutoelewana kati ya Total na Tullow kuhusu ununuaji wa Hisa:


Sasa Total SA Imetangaza kuwa mpango huo umesitishwa.

***************************************************

Total SA has suspended its planned $3.5 billion crude export pipeline from Uganda to Tanzania after the collapse of a deal to buy a stake in Tullow Oil Plc’s oil fields in Uganda.

The French oil major has terminated all activities related to the 1,445-kilometer (898-mile) conduit from its crude fields in Uganda to Tanga in Tanzania because shared ownership in the project was to be determined upon the completion of the Tullow deal, an official familiar with the project at Total’s Ugandan office said.


Last week, Tullow Oil was forced to abandon plans to sell a stake in its Ugandan project to Total and China’s Cnooc Ltd. and restart the process from scratch after tax negotiations stymied the deal. The termination of the agreement was a blow to Tullow, which had sought partners to help it develop about 1.5 billion barrels of recoverable oil in its Ugandan fields.

After Tullow discovered oil in landlocked Uganda in 2006, the country made ambitious plans to construct a 216,000-barrel-a-day pipeline and a refinery. Its anticipated time line for delivering first oil from the project was adjusted multiple times. A recent government estimate stated that it would come online in 2022. A final investment decision on the project was targeted for the end of this year.

The project’s partners and Uganda’s government will have to come up with a “sensible new target” to give it the green light, Tullow Chief Executive Officer Paul McDade said after the company announced it planned to scrap the stake sale.


Total E&P Uganda, which was leading the pipeline project, dismissed employees who were set to undertake works on it, the official said. The explorer was involved in initial land acquisition in both countries, the official said.

Cnooc Uganda Ltd., which is jointly developing the country’s crude finds, suspended at least 12 employees following delays on the project, a company official familiar with the matter said by phone without providing further details.

Total declined to comment.

niulize kitu hapa.. hivi sisi Tanzania hatuna vyanzo vya upatikanaji haya mafuta ghafi ili tuchimbe wenyewe badala ya kuwa mgongo kutumika kupitisha maendeleo ya nchi jirani badala tujitafutie sie wenyewe?
 
Fungua link niliyoweka kuna video sikiliza Kenya awatarajii kupokea hela ya mauzo kwenye mafuta yao mpaka 2024 au mwekezaji arudishe $2 billion zake za investment kwanza.

Sisi sheria zetu mnazoziponda za Prof Muhongo zilizopitishwa kwa hati ya dharura azitaki mambo hayo, ukianza kuuza tu kutokana na ukubwa wa kisima kuna mgao wetu hapo hapo hakuna kusubiri mpaka urudishe investment zako.
Mkuu ubalikiwe ulichokiandika hapa kuna mtu aliniambia hilo kuhusu kenya
 
Back
Top Bottom