KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,189
- 17,157
Huko ndiko wasiwasi wangu ulipo. Sikutaka tu kulitaja hilo bayana lakini ndio maana yangu ya kuitaja m'michezo ya sarakasi'.Pia waangalie mchezo huu unaweza ukawa unachezwa na majirani zetu K. Wao tiyari wamea za kuuza mapipa kadhaa ya crude oil.
Wakifanya hivyo, nitashangaa kuiona Tanzania ikiendelea katika ushirika huo