Gwanggaeto the Great
JF-Expert Member
- Apr 14, 2018
- 883
- 1,911
SILAHA ZA KOREA KAS ZIPELEKWE U.S
John Bolton Ambaye ni Mshauri wa Raisi Trump ameiyambia Korea ya Kaskazini kama inataka unafuu wa Vikwazo lazima ikubali kuzisafirisha SILAHA zake zote kwenda Marekani ilizipelekwe Kwenye Maabala ya Taifa huko Tennessee .alisema Kuwa Kim Jong Un akifanya hivyo atathibitisha ahadi yake Kuhusu SILAHA za Nyuklia .Mwezi huu Korea Kaskazini itawaalika Wandishi wa Habari kutoka Mataifa Mbalimbali kwa ajili ya kushuhudia Ulipuaji wa Mitambo ya Nyuklia
John Bolton Ambaye ni Mshauri wa Raisi Trump ameiyambia Korea ya Kaskazini kama inataka unafuu wa Vikwazo lazima ikubali kuzisafirisha SILAHA zake zote kwenda Marekani ilizipelekwe Kwenye Maabala ya Taifa huko Tennessee .alisema Kuwa Kim Jong Un akifanya hivyo atathibitisha ahadi yake Kuhusu SILAHA za Nyuklia .Mwezi huu Korea Kaskazini itawaalika Wandishi wa Habari kutoka Mataifa Mbalimbali kwa ajili ya kushuhudia Ulipuaji wa Mitambo ya Nyuklia