Bol mobile speed

Bol mobile speed

JosephElly

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2012
Posts
2,432
Reaction score
1,035
Habari wadau, Endapo kuna mtu aliyewahi kutumia Bol mobile Dar, tafadhali nipe mwanga kuhusu speed ya Internet ya hawa jamaa, maana naona bei zao ni rahisi ila ndo bado wapya.
 
kuna mdau alisema ni edge hivyo piga ua garagaza utaishia 30kBps kama speed hutavuka.

labda uwe mgumu maana ni cheap nunua bundle 10 halafu tumia connectify
 
kuna mdau alisema ni edge hivyo piga ua garagaza utaishia 30kBps kama speed hutavuka.

labda uwe mgumu maana ni cheap nunua bundle 10 halafu tumia connectify
Duh, noma sana. Mi nimewapigia wanadai ni 5mbps, Kesho wananilete laini, ngoja nionje kama chachu natema
 
Habari wadau, Endapo kuna mtu aliyewahi kutumia Bol mobile Dar, tafadhali nipe mwanga kuhusu speed ya Internet ya hawa jamaa, maana naona bei zao ni rahisi ila ndo bado wapya.

Bado hiyo 5Mbps ni speed ya edge wee angalia modem za kibongo ni 7.2Mbps lkn kuna mda ni majanga kabisa...mm ninayo line nilipoichomeka kwenye modem ikasoma 2G nikatupa uvunguni hapo hapo
 
Bado hiyo 5Mbps ni speed ya edge wee angalia modem za kibongo ni 7.2Mbps lkn kuna mda ni majanga kabisa...mm ninayo line nilipoichomeka kwenye modem ikasoma 2G nikatupa uvunguni hapo hapo

Kwiiiiii kwiiii kwiiiiiii !!! Umenivunja mbavu njunwa wamavoko
 
Last edited by a moderator:
Bado hiyo 5Mbps ni speed ya edge wee angalia modem za kibongo ni 7.2Mbps lkn kuna mda ni majanga kabisa...mm ninayo line nilipoichomeka kwenye modem ikasoma 2G nikatupa uvunguni hapo hapo

Teh teh teh.... kazi kweli kweli..... mi sijui ni ISP gani bora hapa bongo, nilidhani hao jamaa itakuwa angalau.
 
kuna mdau alisema ni edge hivyo piga ua garagaza utaishia 30kBps kama speed hutavuka.

labda uwe mgumu maana ni cheap nunua bundle 10 halafu tumia connectify

Mambo vipi chief. Hebu naomba nipige shule hapa. Hii connectify itatumika vipi kwa hii case. Natanguliza shukurani.
 
Back
Top Bottom