Boksi gani nzuri kuflash simu

Wilhelm Johnny

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2016
Posts
1,369
Reaction score
1,336
Wakuu nilikuwa naomba msaada boksi gani nzuri kwa software za simu, Bajeti yangu ni Million moja.
 
Mkuu nakushauri utafute biashara nyingine maana hii ina sintofahamu nyingi.
 
Mkuu nakushauri utafute biashara nyingine maana hii ina sintofahamu nyingi.
mkuu mimi ni fundi simu nina kazi nalo na nitalitumia kwa kufuata sheria kabisa
 
natak linalopiga karibia simu zote
Mkuu unachokitafuta hauwezi kukipata kamwe.

Na kama watatokea programer wa kutengeneza hiyo software inayokidhi mahitaji yote itauzwa zadi ya usd 2000.

Cha msingi ainisha aina gani ya simu unazozilenga wewe na aina gani ya matatizo unayokumbana nayo ili uweze kusaidiwa.

Kuna box zinazodili na maswala ya network unlock, network repair na tasks ndogo ndogo.

Zipo zinazodili na cpu tu na siyo brand ya simu.

Zipo zinazodili na known brand pakee kama samsung, huawei, lg nk

Zipo kwa ajili ya chines phones nyingi hizi zinapiga hadi simu za batani.

Zipo za frp, zipo jtag, zipo za michoro ya saketi za simu nk.

Kama unataka zote sema kama unataka aina flani kulingana na simu unazokutana nazo sema ushauriwe hapa.
 
mkuu na ufi box inapiga kazi gani na gani
 
natak inayohusu cpu na frp
 
mkuu hii unlock tool official ina size gani yan mb au gb ngapi nimeshindwa kuipata au kama unaeza kutusaidia link itakuwa vizuri..
Umeactivate hiyo software? Ingia kwenye official website yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…