tata mvoni
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 534
- 81
Habari zenu wana jamvi!
Nimekuwa nikijiuliza kuhusu KUNDI LA BOKO HARAMU la huko NIGERIA ambalo linapigania kuweka utawala wa kiislam katika taifa la NIGERIA ila kiukweli nimeshindwa kuelewa hivi ni kweli hili kundi ni la kiislamu au ni wahuni tu walioamua kushika silaha na kuchinja watu bila huruma!?
Hivi kwa jinsi wanavyoua wanavijiji wakiwamaliza na wakafanikiwa kuuweka huo utawala wa KIISLAMU watawatawala watu gani!? Ni nani mfadhili hasa wa kundi hili?
Na mnauongeleaje uwezo wa jeshi la NIGERIA ni kweli wameshindwa kabisa kupambana na hawa watu!?
KAMA KUNA ANAYEIJUA VIZURI DINI YA KIISLAMU naomba atuambie dini inasemaje kuhusu kumuua mtu asiyekuwa na hatia!!???
NAWASILISHA NA MCHANGO WAKO NI MUHIMU.............
Nimekuwa nikijiuliza kuhusu KUNDI LA BOKO HARAMU la huko NIGERIA ambalo linapigania kuweka utawala wa kiislam katika taifa la NIGERIA ila kiukweli nimeshindwa kuelewa hivi ni kweli hili kundi ni la kiislamu au ni wahuni tu walioamua kushika silaha na kuchinja watu bila huruma!?
Hivi kwa jinsi wanavyoua wanavijiji wakiwamaliza na wakafanikiwa kuuweka huo utawala wa KIISLAMU watawatawala watu gani!? Ni nani mfadhili hasa wa kundi hili?
Na mnauongeleaje uwezo wa jeshi la NIGERIA ni kweli wameshindwa kabisa kupambana na hawa watu!?
KAMA KUNA ANAYEIJUA VIZURI DINI YA KIISLAMU naomba atuambie dini inasemaje kuhusu kumuua mtu asiyekuwa na hatia!!???
NAWASILISHA NA MCHANGO WAKO NI MUHIMU.............