Bodyguard wa Freeman Mbowe

Bodyguard wa Freeman Mbowe

Anaitwa Swai,,usicheze nae kabsa,kitambi kisikudanganye mkuu

kazi ipo kubwa tu !?

wakisema wanaambiwa ni mawazo mgando... badilikeni !, chama sasa sio kile tena cha kufa na kuzikana kama kilivyokua awali , sasa hivi kimekuwa ni cha kisiasa tena cha kitaifa

ukifika kwenye maandlizi ya mkutano zungumza na wale utakao wakuta wakiandaa jukwaa utakuta kama si wote basi asilimia tisini ni kutoka moshi...jamani !
 
Back
Top Bottom