Body za kitaaluma kama PSPTB na NBAA unaweza kujiunga na vyuo?

lushalila

JF-Expert Member
Feb 23, 2015
283
107
Naomba mwenye uelewa kama kuna uwezekano wa mtu aliyesoma masoma ya bodi za wataalamu kama PSPTB na NBAA nk, wanaweza kujiunga na vyuo hapa Tz bila kua na matokeo ya form six au diploma na pia kama inawezekana ni kwa level zipi.
 
Ukiwa umemaliza kozi za professional body kama NBAA (CPA[T]), unakuwa level moja na mtu aliyesoma chuo na kuhitimu ngazi ya Masters.

Ukitaka kurudi kusoma chuo, unaweza kusoma Masters au PhD, kadiri utakavyopenda.

Hii inatokana na kuwepo kwa mfumo wa ulinganishaji elimu (National Qualifications Framework, NQF au TzQF / University Qualifications Framework, UQF).

Elimu ya Ufundi Katika Utumishi wa Umma
 
Ukiwa umemaliza kozi za professional body kama NBAA (CPA[T]), unakuwa level moja na mtu aliyesoma chuo na kuhitimu ngazi ya Masters.

Ukitaka kurudi kusoma chuo, unaweza kusoma Masters au PhD, kadiri utakavyopenda.

Hii inatokana na kuwepo kwa mfumo wa ulinganishaji elimu (National Qualifications Framework, NQF au TzQF / University Qualifications Framework, UQF).

Elimu ya Ufundi Katika
Ukiwa na CPSP unaweza kufanya masters lakini changamoto yake ni kwamba itakuwia vigumu sana kupata ajira kwa kuwa taasisi na mashirika mengi yanatambua DIPLOMA na Degree kutoka vyuoni hivyo they dont bother na watu waliofika juu kupitia Professional Boardies.

Ushauri wangu usifanye mitihani ya bodi kuanzia ngazi za chini.Fanya degree yako then kafanye stage mbili za mwisho upate CPSP yako. Vinginevyo utakuwa na highest qualification kwenye field lakini hutakuww hata shortlisted kwenye kazi.
 
Ukiwa na CPSP unaweza kufanya masters lakini changamoto yake ni kwamba itakuwia vigumu sana kupata ajira kwa kuwa taasisi na mashirika mengi yanatambua DIPLOMA na Degree kutoka vyuoni hivyo they dont bother na watu waliofika juu kupitia Professional Boardies.

Ushauri wangu usifanye mitihani ya bodi kuanzia ngazi za chini.Fanya degree yako then kafanye stage mbili za mwisho upate CPSP yako. Vinginevyo utakuwa na highest qualification kwenye field lakini hutakuww hata shortlisted kwenye kazi.
Hata uwe na digrii yoyote au kuna limitations pia katika aina ya digree?

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom