Mkwaruzo
JF-Expert Member
- Feb 21, 2011
- 563
- 98
Hivi waafrika ndiyo tuko nyuma kwa kila kitu? mmh ni utani ila unaudhi ktk certain degree
hatupo nyuma kwa kila ki2. hivi karibuni kama sikosei ni congo waliovumbua kipimo cha kujuwa umriwa wa wachezaji na hicho kinategemewa kutambulishwa kwa fifa kutumika hadi ktk olimpic