Developer IOS
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 1,457
- 1,409
Kitendo cha serikali kutangaza kupeleka mswaada wa kuundwa kwa bodi ya wanasheria ni jambo la kupongezwa sana na wananchi.Hii itasaidia kwa kiasi kikubwa kudhibiti wanasheria wasio na nidhamu wanaoiabisha fani muhimu sana ya sheria kwa maslai yao binafsi au kwa maslai ya vibaraka wao.