Double K
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 907
- 343
Habari, NBAA nendeni na technologia ya sasa watu wafanye regislation on line taasisi kubwa kama ile watu wanakimbizana na makaratasi kama tunaanza form one. Mjue mnaudumia watu wa sehemu mbali mbali, fanyeni online tukutane kufanya mitihani na kuchukua ID incase hauna. Kinachoudhi hata kwa wanaoendelea inabidi mwende na makaratasi this is crazy, you need to change.