Bodi ya mikopo

Bulah

JF-Expert Member
Aug 19, 2011
247
56
Eti waungwana... Bodi ya mikopo wanatoa mikopo kwa wale ambao ni fresh frm xul tu??? Nihabarisheni mlio karibu na newz
 
kumbe una majibu afu unauliza. mwaka jana ilikuwa sio razima fresh frm school. kama ndo utaratibu mpya umetangazwa ndo utuambie. na nani katangaza?
 
Kuanzia mwaka huu,utaratbu ni kwa form six 2,equevalent qualifications wamekua excluded...cjui hi nchi 2naelekea wap kwa kweli.
 
"nimeangalia habari ya chanel ten leo wanasema mwaka huu watawapa mikopo wanaotoka shule moja kwa moja tu
mkuu hapa na shaka mbona waliandika kwenye link yao kuwa ni mtu yeyote anaeingia chuo au aliyeko chuo sasa mkuu mbona hazina uhakika wowote habari zako...
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom