Bodi ya Mikopo yatesa watumishi wa Serikali

Bodi ya Mikopo yatesa watumishi wa Serikali

makwagejo

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2019
Posts
361
Reaction score
268
Wapendwa kumekuwa na watumishi wa serikali wanaolipa fedha kulipa madeni ya bodi kwa mkupuo,lakini pia wanacheleweshwa kuondolewa kwenye makato kwa makusudi na bodi kuendelea kukata fedha kwenye mshahara.

Mtumishi anapodai fedha iliyozidi inachukua siku tisi au zaidi kurejeshewa na pengine hazirejeshwi kabisa, huu ni ufisadi wa hali ya juu sana,pengine watumishi mmetuona shamba la bibi.

kama tunapochelewa kulipa deni lenu fedha yenu huwa na liba ,vip kwa huyu mtumishi ambae anasubiri kurejeshewa fedha zao zilizozidi wakati wa kulipa deni lenu ili wengine nao wanufaike kwa muda wa zaidi ya siku tisini mtampa Riba?

Mh Waziri Mkuu hapa kuna ufisadi mkubwa sana, mtu anadai laki mbili ambayo ni sawa na tofari mia mbili(200),watumishi wako wa bodi wanashindwa kusaini vocha ya malipo huu ni uhuni mkubwa,haya mambo sijui mtawajibu nini wananchi wanyonge kama watumishi hawa, wakati huo mnajinasibu ni nchi ya viwanda huku watumishi wako hawana haraka na viwanda haya mambo yanaumiza sana,

naomba kwasilisha kwa katibu mkuu wizara ya utumishi wa umma,tamisemi,na katibu mkuu wa elimu na mawaziri mnaohusika ,waambieni watumishi wa bodi wasionee watu,tulikubali kuongezewa asilimia ,tunawalipa mnataka tena kuleta mizengwe no !lipeni fedha zetu,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nakuhakishia hii serikali ina watu wanaomchafua rais na serikali yake tukufu atakuja ajionee mwenyewe na muda umefika.kila mtu ni mbabe tu,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu kuna hali imejitokeza watu walishakatwa zamani wakamaliza deni miaka ya nyuma lakini gafla anaanza kukatwa tena

Bodi kuweni makini ktk kukata pesa za watu !

Taratibu jamani haya ......


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pia ukimaliza kulipa!bodi wanaongeza deni eti riba mpya!!!jamaa yangu hapa kaongezewa milion tatu baada ya kumaliza deni lake la awali!!!!Bodi wasenge sana hawa!!!
 
Halafu kuna hali imejitokeza watu walishakatwa zamani wakamaliza deni miaka ya nyuma lakini gafla anaanza kukatwa tena

Bodi kuweni makini ktk kukata pesa za watu !

Taratibu jamani haya ......


Sent using Jamii Forums mobile app
yani ni vurugu mechi,mtu anaishi kwa nyanya ntole na dagaa kila siku leo unakata hela yake wala huna haraka kumrudishia hii inauma sana ,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi mtu unaanzaje kuwa mtumishi wa umma? Ni kukata tamaa ya maisha au ni kukosa mbinu mbadala?
ndugu yangu hali ya maisha inafanya watu wawe watumishi wa umma,no ecrement anakomaa tu na hicho kidogo labda uwe mtoto wa kinana ndo unaweza kujikokota kidogo lakini sisi watoto wa wakulima hatuna budi kuwa watumishi wa umma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom