Bodi ya mikopo yanishangaza

Bodi ya mikopo yanishangaza

Jickson Nkulikwa

Senior Member
Joined
Nov 13, 2016
Posts
104
Reaction score
52
Mimi ni mwl.sekondari naitwa Jickson Emmanuel Nkulikwa,napenda kupinga deni ambalo bodi mumenipa kama mdaiwa sugu.Je diploma mlianza lini kutoa mkopo? Nimesoma kwa kodi za baba yangu naomba mfute jina langu ktk kitabu cha hukumu.

Pia Natumia fursa hii kumshauri Rais Magufuli kuichunguza bodi ya mikopo na ikiwezekana aitumbue kwani tumeandikwa wadaiwa hewa nikiwemo Mimi. kama walikula wawe wazi tuwadai au wanikopee ukweli kama uongo nipeleke mahakamani niwaburuze

Mbona hamjiandiki majina yenu. sitaki kuandika mengi mtasema mchochezi ila silipi na sitalipa ,Raisi wabane bodi ya mikopo kwa majina hewa hela mle ninyi nilipe Mimi? Sina shaka na maelezo yangu ,contacts 0757658783.
 
Naona umejiunga JF ili utoe dukuduku lako.

Hii bodi sijui inafanyaje kazi zake.

Wanaweza kumdai hata aliyeishia darasa la 7😛😛😛
 
Mimi ni mwl.sekondari naitwa Jickson Emmanuel Nkulikwa,napenda kupinga deni ambalo bodi mumenipa kama mdaiwa sugu.Je diploma mlianza lini kutoa mkopo? Nimesoma kwa kodi za baba yangu naomba mfute jina langu ktk kitabu cha hukumu.pia Natumia fursa hii kumshauri Rais Jpm kuichunguza bodi ya mikopo na ikiwezekana aitumbue kwani tumeandikwa wadaiwa hewa nikiwmo Mimi.kama walikula wawe wazi tuwadai au wanikopee ukweli kama uongo nipeleke mahakamani niwaburuze mbona hamjiandiki majina yenu.sitaki kuandika mengi mtasema mchochezi ila silipi na sitalipa ,JPM wabane bodi ya mikopo kwa majina hewa hela mle ninyi nilipe Mimi? Sina shaka na maelezo yangu ,contacts 0757658783.
Washitaki kwa kukuchafulia jina
Naona umejiunga JF ili utoe dukuduku lako.

Hii bodi sijui inafanyaje kazi zake.

Wanaweza kumdai hata aliyeishia darasa la 7😛😛😛
 
Mimi ni mwl.sekondari naitwa Jickson Emmanuel Nkulikwa,napenda kupinga deni ambalo bodi mumenipa kama mdaiwa sugu.Je diploma mlianza lini kutoa mkopo? Nimesoma kwa kodi za baba yangu naomba mfute jina langu ktk kitabu cha hukumu.

Pia Natumia fursa hii kumshauri Rais Magufuli kuichunguza bodi ya mikopo na ikiwezekana aitumbue kwani tumeandikwa wadaiwa hewa nikiwemo Mimi. kama walikula wawe wazi tuwadai au wanikopee ukweli kama uongo nipeleke mahakamani niwaburuze

Mbona hamjiandiki majina yenu. sitaki kuandika mengi mtasema mchochezi ila silipi na sitalipa ,Raisi wabane bodi ya mikopo kwa majina hewa hela mle ninyi nilipe Mimi? Sina shaka na maelezo yangu ,contacts 0757658783.
Umejuaje kama ni wewe? Majina yanaweza kufanana,au kuna mtu alilimwigulu jina lako,wakati unavaa uniform diploma yeye anakula boom udsm.
 
Kama hili linaukweli basi kutakuwa na majina mengi hewa ili walipe tu wakati hawakukopeshwa.
 
Duh mkuu umetisha yaani umefanikiwa kuona jina wakati ujatumia huo mkopo. mimi nina siku ya tatu silali nakesha nikitafuta jina langu sijaliona mpaka sasa,
 
Ingefaa kama ungeenda kule kwenye ofisi zao ukajieleza ila kama vipi lipa tu maana nchi haina hela hii
 
Ni sahihi kabisa, hawakukosea kukushikisha deni waliona ww unafaa kabisa, mwalimu gani wewe unaandika ovyo namna hiyo?
Huna vituo wala koma kwenye uandishi wako!!
Unadhalilisha taaluma ya ualimu.
 
OTE="Jickson Nkulikwa, post: 18533025, member: 398470"]Mimi ni mwl.sekondari naitwa Jickson Emmanuel Nkulikwa,napenda kupinga deni ambalo bodi mumenipa kama mdaiwa sugu.Je diploma mlianza lini kutoa mkopo? Nimesoma kwa kodi za baba yangu naomba mfute jina langu ktk kitabu cha hukumu.

Pia Natumia fursa hii kumshauri Rais Magufuli kuichunguza bodi ya mikopo na ikiwezekana aitumbue kwani tumeandikwa wadaiwa hewa nikiwemo Mimi. kama walikula wawe wazi tuwadai au wanikopee ukweli kama uongo nipeleke mahakamani niwaburuze

Mbona hamjiandiki majina yenu. sitaki kuandika mengi mtasema mchochezi ila silipi na sitalipa ,Raisi wabane bodi ya mikopo kwa majina hewa hela mle ninyi nilipe Mimi? Sina shaka na maelezo yangu ,contacts 0757658783.[/QUOTE]
Kiongozi hii ni Jf home of great thinker wewe ujasoma kozi ya uwalimu ngazi ya degree iweje uone unadaiwa umetumia kigezo gani kujua ni wewe ili hali ujawahi soma chuo kikuu hiyo moja

Pili je umeona makato katika salary slip yako kuwa umekatwa na bodi ya mkopo elimu ya juu au umekuja hapa kutufurahisha

Maana kama umeona jina basi tambua siyo wewe ni mtu mwingine mmefanana majina kwani bodi ya mkopo wametoa majina na mwaka uliomaliza basi hawajaonyesha kozi mdaiwa aliyo soma au chuo wewe umejuaje kuwa ni wewe mpaka uwatupie rawama bodi ya mkopo
 
we waache tu mpk wakupeleke mahakamni ukawagaragaze huko,toka lin diploma ukapewa mkopo? hata kama kukusanya mapato hio ni too much
 
hahahaha mkuu umenichekesha, najaribu kuwaza uliwaza nini kwenda kujitafuta wakati wajua si mdaiwa
Unaweza kuta amepewa taarifa na ndg maana hili ni janga kwa ukoo mzima, chezea kutaifishiwa mashamba aisee?
 
Back
Top Bottom