de carter jr
Senior Member
- Aug 27, 2014
- 142
- 119
BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetangaza kufungwa kwa dirisha la maombi ya mikopo kwa njia ya mtandao kwa mwaka wa masomo 2020 ambapo hadi kufikia leo Septemba 10, 2020 imepokea na kusajili jumla ya maombi ya wanafunzi 92,947.
Heslb
@TZMsemajiMkuu https://t.co/kSDZ5jmTVX
Heslb
@TZMsemajiMkuu https://t.co/kSDZ5jmTVX






