Bodi ya Mikopo (HESLB) yafunga dirisha la maombi

Bodi ya Mikopo (HESLB) yafunga dirisha la maombi

de carter jr

Senior Member
Joined
Aug 27, 2014
Posts
142
Reaction score
119
BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetangaza kufungwa kwa dirisha la maombi ya mikopo kwa njia ya mtandao kwa mwaka wa masomo 2020 ambapo hadi kufikia leo Septemba 10, 2020 imepokea na kusajili jumla ya maombi ya wanafunzi 92,947.
Heslb

@TZMsemajiMkuu https://t.co/kSDZ5jmTVX

20200910_151017.jpg
20200910_151142.jpg
 
kwa hesabu zangu za darasa la nne c ni kwamba hamna atakaekosa au nimeelewa vibaya,walioomba ni elf 91... na bajeti ni kwa watu laki na arobaini....
 
kwa hesabu zangu za darasa la nne c ni kwamba hamna atakaekosa au nimeelewa vibaya,walioomba ni elf 91... na bajeti ni kwa watu laki na arobaini....
Wapo watakaokosa maana wamepmba watu zaidi ya 92000 then wanatakiwa watu 54000 wa kupewa mkopo.
Ila hapa kuna ambao waliwahi kuomba mkopo na matokeo ya 6 yamekuja vibaya, wengine hawatopata vyuo, wengine..............
 
Wapo watakaokosa maana wamepmba watu zaidi ya 92000 then wanatakiwa watu 54000 wa kupewa mkopo.
Ila hapa kuna ambao waliwahi kuomba mkopo na matokeo ya 6 yamekuja vibaya, wengine hawatopata vyuo, wengine..............
Pagumu hapo kaka...!Hatari zaidi ya uhalisia wake...!
 
Wapo watakaokosa maana wamepmba watu zaidi ya 92000 then wanatakiwa watu 54000 wa kupewa mkopo.
Ila hapa kuna ambao waliwahi kuomba mkopo na matokeo ya 6 yamekuja vibaya, wengine hawatopata vyuo, wengine..............
That's right Kuna jamang aliwah mapema tu kuapply loan bahat mbaya kapata III-14 (DEE) Ila Hawa heslb next tym wanapaswa kufungua dirisha baada ya matokeo kutoka, Japo Kuna watu waliokosa mkopo mwaka uliopita na wao wanahaki ya kuomba Tena mwaka huu ila Walifanyie mabadiliko swala hili la kufungua dirisha baada ya matokeo!!!!!

#desert_lion
 
That's right Kuna jamang aliwah mapema tu kuapply loan bahat mbaya kapata III-14 (DEE) Ila Hawa heslb next tym wanapaswa kufungua dirisha baada ya matokeo kutoka, Japo Kuna watu waliokosa mkopo mwaka uliopita na wao wanahaki ya kuomba Tena mwaka huu ila Walifanyie mabadiliko swala hili la kufungua dirisha baada ya matokeo!!!!!

#desert_lion

Mkuu uyo apat chuo?
 
Nimeona Uzi zake nying akiongelea maswala ya mkopo daaah sijui anasomeaga nn
Unataka kufahamu course za watu zitakusaidia nn we mtoto wa kiume..!! Pambana na maisha yako, kwanza umesikia humu kuna-limit ya kupost nyuzi.. Acha mtu aandike nyuzi yoyote kwa jambo lolote analolifikiria kwanza inasaidia hata kwa watu wengine wasiofahamu jambo hilo. Kwanza huoni hats tofauti Mimi ni "Expert Member" we ni "Member" Tusichunguzane kadadadeq
 
Unataka kufahamu course za watu zitakusaidia nn we mtoto wa kiume..!! Pambana na maisha yako, kwanza umesikia humu kuna-limit ya kupost nyuzi.. Acha mtu aandike nyuzi yoyote kwa jambo lolote analolifikiria kwanza inasaidia hata kwa watu wengine wasiofahamu jambo hilo. Kwanza huoni hats tofauti Mimi ni "Expert Member" we ni "Member" Tusichunguzane kadadadeq
Expert Member Unalipwa au Vyeo vingine sio vya kujisifia kabisaa, Mimi Ni member mtiifu nipo humu toka 2016 ww wa 2017 unaanza kujiproud ata Kama una uexpert but chunga kauli zako huenda umepata uexpert kwa kupost na kucomment ujinga ujinga tu na hizo tabia za kidada unazo wewe kuingilia visivyokuhusu mi nilimwongelea Lexus SUV Kuna thread zake niliziona Humu JF last year akiongelea maswala ya mkopo na alisema anasoma UD hivyo alihitaji kujua jinsi anavyoweza pata mkopo japo wa mwaka mmoja that means huenda haikuwa bahati yake kupata mkopo wa heslb last year but now dirisha tayari limefungwa ila anasema yeye hajamaliza kuomba mkop Kama alivyocomment hapo juu Ndo Mana nikajiuliza labda anasoma koz gani hiyo ambayo huenda sio priority heslb coz hakuna ubaya wa kujua mtu anasomea Nini au kuuliza mtu anasomea nini JF Ni jukwaa huru Don't panic and think great mzee wa expert usijisifu kuwa expert akat Ni low thinker wengine Ni undergraduator ikiwemo Mimi na tunaaply vyuo mwaka huu tungepaswa kujua kutoka kwake na Angepaswa anijibu yeye sio wewe shombe shombe dume Zima kujiita shombe usinitaftie ban la mwaka mzimaPambana na Hali yako
 
Expert Member Unalipwa au Vyeo vingine sio vya kujisifia kabisaa, Mimi Ni member mtiifu nipo humu toka 2016 ww wa 2017 unaanza kujiproud ata Kama una uexpert but chunga kauli zako huenda umepata uexpert kwa kupost na kucomment ujinga ujinga tu na hizo tabia za kidada unazo wewe kuingilia visivyokuhusu mi nilimwongelea Lexus SUV Kuna thread zake niliziona Humu JF last year akiongelea maswala ya mkopo na alisema anasoma UD hivyo alihitaji kujua jinsi anavyoweza pata mkopo japo wa mwaka mmoja that means huenda haikuwa bahati yake kupata mkopo wa heslb last year but now dirisha tayari limefungwa ila anasema yeye hajamaliza kuomba mkop Kama alivyocomment hapo juu Ndo Mana nikajiuliza labda anasoma koz gani hiyo ambayo huenda sio priority heslb coz hakuna ubaya wa kujua mtu anasomea Nini au kuuliza mtu anasomea nini JF Ni jukwaa huru Don't panic and think great mzee wa expert usijisifu kuwa expert akat Ni low thinker wengine Ni undergraduator ikiwemo Mimi na tunaaply vyuo mwaka huu tungepaswa kujua kutoka kwake na Angepaswa anijibu yeye sio wewe shombe shombe dume Zima kujiita shombe usinitaftie ban la mwaka mzimaPambana na Hali yako
Naunga mkono hoja jibu bora kabisa hili
 
Expert Member Unalipwa au Vyeo vingine sio vya kujisifia kabisaa, Mimi Ni member mtiifu nipo humu toka 2016 ww wa 2017 unaanza kujiproud ata Kama una uexpert but chunga kauli zako huenda umepata uexpert kwa kupost na kucomment ujinga ujinga tu na hizo tabia za kidada unazo wewe kuingilia visivyokuhusu mi nilimwongelea Lexus SUV Kuna thread zake niliziona Humu JF last year akiongelea maswala ya mkopo na alisema anasoma UD hivyo alihitaji kujua jinsi anavyoweza pata mkopo japo wa mwaka mmoja that means huenda haikuwa bahati yake kupata mkopo wa heslb last year but now dirisha tayari limefungwa ila anasema yeye hajamaliza kuomba mkop Kama alivyocomment hapo juu Ndo Mana nikajiuliza labda anasoma koz gani hiyo ambayo huenda sio priority heslb coz hakuna ubaya wa kujua mtu anasomea Nini au kuuliza mtu anasomea nini JF Ni jukwaa huru Don't panic and think great mzee wa expert usijisifu kuwa expert akat Ni low thinker wengine Ni undergraduator ikiwemo Mimi na tunaaply vyuo mwaka huu tungepaswa kujua kutoka kwake na Angepaswa anijibu yeye sio wewe shombe shombe dume Zima kujiita shombe usinitaftie ban la mwaka mzimaPambana na Hali yako
Nani unadhani ni mtoto mdogo hapa. Achana na mm wew kula mbeleee
 
Back
Top Bottom