Wanatoa kwa watumishi tuJamani hebu mnisaidie uzoefu wenu katika hili?
Nisaidie kujua wanatoa pia na kwa wanaosoma nje ya nchi hasa kwa Africa mashariki?Wanatoa kwa watumishi tu
Hio sijajua ndugu yangu checki Mastercard foundation wanatoa scholarship ndani ya baadhi ya vyuo hapa EANisaidie kujua wanatoa pia na kwa wanaosoma nje ya nchi hasa kwa Africa mashariki?
Nenda kwenye website ya search guidelines for postgraduate students vigezo vya kupata mkopo ipoHabari wanajukwaa,
Naomba kuuliza kwa anayefahamu kama bodi ya mikopo inatoa mkopo kwa wanafunzi wa shahada ya udhamili(postgraduate students)?