Bodi ya mikopo elimu ya juu (HESLB) ni JIPU

COARTEM

JF-Expert Member
Nov 26, 2013
3,603
3,658
Kwa wale ambao hawajapata "certificate of clearance" kwamba wamemaliza mikopo yao, tafadhali nenda HESLB ukaangalie unadaiwa sh ngapi, mimi nimeenda baada ya kuletewa "Outstanding debt 11.5 M" na HR wetu. Mambo mawili yamenistua;

-Kwanza nilikuwa nimekatwa for 2yrs but only 3months zilikuwa recorded lakini wali-reconcile baada ya mimi kutoa salary slip zangu.

-Pili, kuna kitu inaitwa "Value retention fee" ambapo wanapiga 6% of what you were given in that particular year times number of years passed until you began re-paying of the loan.(see attached photo)

-Nimeuliza mbona hii (value retention fee) haikuwepo kwenye contract? nikajibiwa sheria ilifanyiwa marekebisho 2014, So the law is acting RETROSPECTIVELY!

-Additionally kuna 10% penalty na 1% Administration fee!
NB: Kile unachokiona kwenye salary slip kuna uwezekano mkubwa sicho unachodaiwa, mimi nilikuwa inaonyesha nimebakiza 2M but niliyoyakuta yamenistua.

"Hapa kazi tu!"

TAZAMA VIELELEZO HAPO CHINI
13612339_10204978073491030_4822271624939513937_n.jpg
13631452_10204978073011018_133010306271038030_n.jpg
 
Kuna kitu pia nime expirience ni kwamba kuna watu waliajiriwa wakanza kukatwa makato on the sport na baadae makato yaka simamishwa!!! Na waliositisha makato ni wao wenyewe (BODI YA MIKOPO) walipoanza kukata tena, deni likawa limeongezeka two times hasa kwa wale waaliopata asilimia A!!!
 
Kuna kitu pia nime expirience ni kwamba kuna watu waliajiriwa wakanza kukatwa makato on the sport na baadae makato yaka simamishwa!!! Na waliositisha makato ni wao wenyewe (BODI YA MIKOPO) walipoanza kukata tena, deni likawa limeongezeka two times hasa kwa wale waaliopata asilimia A!!!
Vipi unaandika kwa vibration au?
 
Kwahiyo mkuu kile ambacho kipo kwenye salary slip kikiisha wanaongeza au?
 
Hapa ndipo ambao tulikosa mikopo tunapoanza kujiona tuna upako.........kukopa raha ......kulipa bwana wee inauma..........sasa nikiwazia maumivu niliyoyapata kipindi kile mwaka wa kwanxa na wapili........ila nilipofika wa pili mwishoni kuelekea mwaka wa tatu nikaanza kuhisi kawaida kupambana na sikuona shida kumalizia.......nimekula ng'ombe mzima nishindwe mkia........
 
Mwenyewe nadaiwa milioni kumi na tano na kidogo,coz yenyewe ualimu,ada ilikuwa laki saba,hawa jamaa wamefanya kamradi
 
Kwa wale ambao hawajapata "certificate of clearance" kwamba wamemaliza mikopo yao, tafadhali nenda HESLB ukaangalie unadaiwa sh ngapi, mimi nimeenda baada ya kuletewa "Outstanding debt 11.5 M" na HR wetu. Mambo mawili yamenistua;

-Kwanza nilikuwa nimekatwa for 2yrs but only 3months zilikuwa recorded lakini wali-reconcile baada ya mimi kutoa salary slip zangu.

-Pili, kuna kitu inaitwa "Value retention fee" ambapo wanapiga 6% of what you were given in that particular year times number of years passed until you began re-paying of the loan.(see attached photo)

-Nimeuliza mbona hii (value retention fee) haikuwepo kwenye contract? nikajibiwa sheria ilifanyiwa marekebisho 2014, So the law is acting RETROSPECTIVELY!

-Additionally kuna 10% penalty na 1% Administration fee!
NB: Kile unachokiona kwenye salary slip kuna uwezekano mkubwa sicho unachodaiwa, mimi nilikuwa inaonyesha nimebakiza 2M but niliyoyakuta yamenistua.

"Hapa kazi tu!"

TAZAMA VIELELEZO HAPO CHINI
View attachment 365654 View attachment 365655


Nikweli mkuu hyo sheria ya rentation fee haikutakiwa iwahusu waliopata mkopo b4 2014 hapo tutaenda mahakaman tu.
 
Back
Top Bottom