MURUSI
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 4,496
- 8,731
Kumuelewa Lema unahitaji kuwa na akili kubwa sana, Shida ya hii nchi swala kuambiana ukweli ni tatizo sana, Leo hii kuna uharibifu mkubwa mno wa Mazingira ila hakuna hata kiongozi mmoja ana dhubutu kuamka na kukemea zaidi ya kukemea kwa mafumbo, kisa asiwaudhi wapiga kura, ndio maana vyanzo vya maji vinavamiwa mapori yanavamiwa na hao jawaguswi kisa ni wapiga kura.
Nini sustainability ya Bodaboda kwa baadae? Unazani 10 years from now hali itakuwaje?
Niliona bandiko moja Serikali ya Nigeria ikijuta sana kuto kudhibiti Bodaboda mapema sana na kuingiza siasa kwenye uhalisia, ndio kisa wakipigwa marufuku kuingia katikayi ya majiji makubwa.
Leo hii miaka 20 ijayo unadhani kutakuwaje mjini? Gari zitatembea au zitapack na ziwaachie bodaboda ndio watembeee mjini?angalia tu tu swala la bajaji.
Vijana wanakimbia vijijini tena wanauza hadi mashamba na kuja mjini kununua pikipiki za kufanya Bodaboda hii ni akili? na hakuna udhibiti hadi sasa wa Bodaboda wanazidi kuongezeka na wanaachwa kwa sababu ni wapiga kura.
Nguvu kazi Vijijini kwa sasa haipo tena wamebakia wazeee tu vijana wako mjini wanaendesha bodaboda na sisi tunashangilia tunaona ni sahihi kabisa kisa hawa ni wapiga kura wetu.
Serikali inakwepa jukumu la kuboresha maisha ya raia wake na kuwapatia ajira na imejikita kuona bodaboda na umachinga ni ajira.
Ipo siku tutajuta na hii ishu ya Bodaboda na itakuwa too late sana.
Nini sustainability ya Bodaboda kwa baadae? Unazani 10 years from now hali itakuwaje?
Niliona bandiko moja Serikali ya Nigeria ikijuta sana kuto kudhibiti Bodaboda mapema sana na kuingiza siasa kwenye uhalisia, ndio kisa wakipigwa marufuku kuingia katikayi ya majiji makubwa.
Leo hii miaka 20 ijayo unadhani kutakuwaje mjini? Gari zitatembea au zitapack na ziwaachie bodaboda ndio watembeee mjini?angalia tu tu swala la bajaji.
Vijana wanakimbia vijijini tena wanauza hadi mashamba na kuja mjini kununua pikipiki za kufanya Bodaboda hii ni akili? na hakuna udhibiti hadi sasa wa Bodaboda wanazidi kuongezeka na wanaachwa kwa sababu ni wapiga kura.
Nguvu kazi Vijijini kwa sasa haipo tena wamebakia wazeee tu vijana wako mjini wanaendesha bodaboda na sisi tunashangilia tunaona ni sahihi kabisa kisa hawa ni wapiga kura wetu.
Serikali inakwepa jukumu la kuboresha maisha ya raia wake na kuwapatia ajira na imejikita kuona bodaboda na umachinga ni ajira.
Ipo siku tutajuta na hii ishu ya Bodaboda na itakuwa too late sana.