mende 2014 JF-Expert Member Apr 13, 2014 763 131 Oct 20, 2016 #1 Huyu bodaboda amebeba abiria wawili halafu wote hawana helmet akikamatwa eti ameonewa. Hivi ni kwa nini hawatii sheria bila shuruti?
Huyu bodaboda amebeba abiria wawili halafu wote hawana helmet akikamatwa eti ameonewa. Hivi ni kwa nini hawatii sheria bila shuruti?
wa stendi JF-Expert Member Jul 7, 2016 24,688 26,797 Oct 20, 2016 #2 Alafu inaonyesha hapo ni maeneo ya pale usangi kwa. M!!!!!!! Jr.. kwa mbali naona milima
mende 2014 JF-Expert Member Apr 13, 2014 763 131 Oct 20, 2016 Thread starter #3 Hawa wanastahili adhabu kali maana faini ya sh. 30,000 wameizoea.