Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,753
- 218,340
Taarifa zinaonyesha kwamba kiongozi huyo wa chama cha upinzani nchini Uganda , ambaye ndiye chaguo la wananchi wa Uganda ( isipokuwa vyombo vya dola ), amefika nchini Tanzania kwa lengo la kumsalimia Mhanga wa kesi ya uongo ya Ugaidi Freeman Mbowe .
Bobi Wine anafahamika kwa ujasiri wake wa kupambana na Yoweri Museveni , kiongozi wa Uganda aliyechoka na anayeongoza kwa mtutu wa bunduki .
View attachment 2164233
View attachment 2164234
Bobi Wine anafahamika kwa ujasiri wake wa kupambana na Yoweri Museveni , kiongozi wa Uganda aliyechoka na anayeongoza kwa mtutu wa bunduki .
View attachment 2164233
View attachment 2164234