Nope....kuna kajamaa kalikua kanalelewa na whitney..kamtoto kalichukuliwa ili kukasaidia vile ni poor family.. so wakawa kama kaka na dada.kaboy kalivyokua kakubwa kakamgeuka binti na kufanya mke wake hapohapo ndo kalimfundisha kila aina ya uchafu plus hiyo mingada.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.