Bob Marley vs Lucky Dube

BIBALITUMIA NUKUU NYINGI TOKA KWA WATU MASHUHURI MFANO WALTER RODNEY,HAILE SELASSIE,MARCUS MUZAYA GARVEY N.K,VITABU VITAKATIFU MFANO BIBLIA N.K LAKINI BWANA LUCKY DUBE ALITUMIA TUNGO ZAIDI
Mfano wa nyimbo za Bob.na Dube
BOB-WAR,GET UP STAND UP,RIDE NATTY RIDE
DUBE - GOD BLESS THE WOMEN,THE WAY IT IS,CHILDREN ON THE STREETS,CRAZY WORLD
 
Upo sawa kiongozi. Bob ana mchango mkubwa sana kwenye mapinduzi ya reggae hivyo basi kila mmoja kati ya bob na luck ameacha legacy yake. Inategemea umekulia wakati upi 70s au 80s.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…