nusuhela
JF-Expert Member
- Jan 26, 2014
- 6,493
- 8,173
Kwani wajeda na mapolisi wanapatikanaje?
Au nao ni makada wa chama fulani?
Itumike mbinu ileile na wawe wanahudhuria semina kabisa. Semina hiyo iwe inahusu uzalendo na sio masilahi ya kikundi au chama fulani kuhusu maamuzi ya wapiga kura.
Mwanzo utakua mgumu ila huko mbeleni itakaa sawa
Au nao ni makada wa chama fulani?
Itumike mbinu ileile na wawe wanahudhuria semina kabisa. Semina hiyo iwe inahusu uzalendo na sio masilahi ya kikundi au chama fulani kuhusu maamuzi ya wapiga kura.
Mwanzo utakua mgumu ila huko mbeleni itakaa sawa