Bob Chacha Wangwe: Tunaenda wapi kutoka kwa ma-DED?

Bob Chacha Wangwe: Tunaenda wapi kutoka kwa ma-DED?

Leo asubuhi Bob Chacha WANGE ameshiriki kipindi cha gumzo cha BBC. sehemu ya mazungumzo yao:-
Mtangazaji:- mtazamo wenu hamuwataki MADED wasimamie uchaguzi; je ni nani wawekwe badala yao na itumike njia ipi kuwapata?
Wangwe:- sisi lengo letu ni kupata katiba mpya.... mtandazaji anamkatiza
Mtangazaji:- Swali langu nataka utusaidie namna ya kuwapata watu wa kufanya kazi ambayo kwa sasa wanaifanya MADED
Wangwe: Tunao ushaidi na tumeutoa mahakama MADED ni makada wa CCM

Nani anaweza kumsaidia Wangwe kujibu swali hili
mkewe
 
Wawe waajiriwa wa NEC kwa specific time, mfano miezi 6 au mwaka ambapo kazi itatangazwa na sifa za mwombaji kuonyeshwa kwenye tangazo. Sifa za mwombaji among others lazima zizingatie katiba. Kabla ya kuajiriwa, majina yatangazwe gazetini ili kama mtu ana zuio la haki kwa mwajiriwa anayekusudiwa, mtu huyo aweze kueleza na hasa kama mtu anayetakiwa kuajiriwa ni kada wa chama fulani.
nani atawaajiri? Mtazuiaje wasiajiriwe UVCCM watupu?
 
tena msimamizi mwenye temporary office (aliyeajiriwa kwa ajili ya uchaguzi huo tu) ni rahisi zaidi kuwa corrupted kuliko government officer mwenye established office na reputation
 
Imagine umekaa benchi miaka kadhaa huna kazi halafu zali linakushukia la kusimamia uchaguzi wa mbunge. Mshahara sijui sh ngapi lakini mshahara wa serikali unajulikana hauzidi sh ngapi. Halafu mgombea mmojawapo anakuja na 10m cash umtangaze, huku ukiwa huna uhakika na mkate wa kesho. Jeuri ya kuzikataa utaipata wapi?
 
Leo asubuhi Bob Chacha WANGE ameshiriki kipindi cha gumzo cha BBC. sehemu ya mazungumzo yao:-
Mtangazaji:- mtazamo wenu hamuwataki MADED wasimamie uchaguzi; je ni nani wawekwe badala yao na itumike njia ipi kuwapata?
Wangwe:- sisi lengo letu ni kupata katiba mpya.... mtandazaji anamkatiza
Mtangazaji:- Swali langu nataka utusaidie namna ya kuwapata watu wa kufanya kazi ambayo kwa sasa wanaifanya MADED
Wangwe: Tunao ushaidi na tumeutoa mahakama MADED ni makada wa CCM

Nani anaweza kumsaidia Wangwe kujibu swali hili
ahahahaaa! Nimecheka sana. Bob! Alitumiwa tu basi, asinheweza kumkodi shangazi, anatumia muda, akili na fedha zake kutafuta kitu ambacho hakijui.
 
Miezi sita au mwaka naona c sawa kwani wanaweza kuhongwa. Na yeye hawezi kukosa chochote kwani anajua kuwa hata akivurunda anaondoka
KUPINGA HOJA BILA HOJA NI KUWEKA ROAD BLOCK BILA NJIA MBADALA MATOKEO YAKE NI KUSABABISHA JAM NA KURUDISHA NYUMA MAENDELEO NJOO NA MBADALA
 
Imagine umekaa benchi miaka kadhaa huna kazi halafu zali linakushukia la kusimamia uchaguzi wa mbunge. Mshahara sijui sh ngapi lakini mshahara wa serikali unajulikana hauzidi sh ngapi. Halafu mgombea mmojawapo anakuja na 10m cash umtangaze, huku ukiwa huna uhakika na mkate wa kesho. Jeuri ya kuzikataa utaipata wapi?
ACHA KUENDEKEZA SPIRIT YA RUSHWA TUTAKUUA KABLA HUJATOKA KITUONI PAMBAZU NAKUTAHADHARISHA SANA BINTI/KIJANA
 
MAJAJI NA VIONGOZI WA DINI NDO WATUMIKE
 
[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124] waliokosa ajira au[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848] mbona itakuwa vita Sasa
Walimu walio hitimu wanaweza kufanya hiyo kazi....kuna lingine
 
Rasimu ya katiba (ya Warioba) imeanisha jinsi ya kuwapata.
 
"mozeq,sasa hao graduate wa kusimamia uchaguzi tu siku zingine zisizo za uchaguzi watakuwa wanafanya nini?
My thinking Ni kwamba inakuwa additional capacity mtumishi anakua nayo, na itatumika pindi Cha Uchaguzi.
 
ᴄʜᴇᴢᴇᴀ sᴇʀɪᴋᴀʟɪ,ᴡᴀᴛᴀᴋᴜʙᴀʟɪ ᴍᴀᴅᴇᴅ ᴡᴀsɪsɪᴍᴀᴍɪᴇ ᴜᴄʜᴀɢᴜᴢɪ ʟᴋɴ ᴄʜᴀ ᴋᴜsʜᴀɴɢᴀᴢᴀ ᴜᴛᴀᴏɴᴀ ᴍᴛᴜ ᴀɴᴀᴛᴇᴜʟɪᴡᴀ ʜᴀʟᴍSʜᴀᴜƦɪ ᴀᴍʙᴀʏᴇ ʏᴜᴘᴏ ᴄʜɪɴɪ ʏᴀ ᴅᴇᴅ ᴜɴᴀᴅʜᴀɴɪ ᴀᴛᴀᴍᴡᴀɴɢᴜSʜᴀ ʙSᴜ ᴡᴀᴋᴇ? ᴍҒᴀɴᴏ ᴀɴᴀᴡᴇᴢᴀ ᴋᴜᴄʜᴜᴋᴜʟɪᴡᴀ ᴀҒɪSᴀ ᴇʟɪᴍᴜ
 
Huu ni mfano mzuri wa namna upinzani usivyokuwa na maandalizi ya kushika dola ;

Wanadai lakini hawajui baada ya hapo wataifanyia Nini hiyo haki.

unaweza shangaa huko mbeleni wakashika dola na kuwaomba Tena CCM iongoze kwa niaba yao.

Mfano mzuri wa hilo ni pale Kila inapofikia uchaguzi hutegemea waliokosa nafasi CCM kuwa wagombea wao.
 
Jinga bado linataka chacha wangwe amtafunie kila kitu halafu ukute mtoto wa kiume, nenda na wewe court ukatafute soln. Buk7
 
Jinga bado linataka chacha wangwe amtafunie kila kitu halafu ukute mtoto wa kiume, nenda na wewe court ukatafute soln. Buk7
UNASAMEHEWA KWA MJIBU WA BIBLIA
  1. "othuman dan fodio,
  2. "othuman dan fodio,
  3. "othuman dan fodio,
  4. "othumandan fodio,"
  5. othuman dan fodio
  6. "othuman dan fodio
  7. "othuman dan fodio
 
Tunataka katiba itakayo wapendelea wapinzani hiyo itakuwa Fair.
 
Back
Top Bottom