Bob Chacha Wangwe: Tunaenda wapi kutoka kwa ma-DED?

Bob Chacha Wangwe: Tunaenda wapi kutoka kwa ma-DED?

Sio kazi yake, ametimza wajibu wake kama Raia mwema wa kulinuda katiba na Mahakama kuu imeliona hilo. Ni kazi ya NEC kujua wapi itatoa wasimamizi lakini sio kazi ya mtu mwingine. Ndio maana watu wanashangaa Mwanasheria Mkuu kwenda kukata rufaa, watu wanauliza Serikali ina maslahi gani?
 
"longi mapexa, unawezaje kumjua mtu ambaye hana uelekeo kisiasa? Hii ndiyo changamoto. Wenye akili fupi wameenda mahakamani wakaomba wakapata walichoomba- ila nchi zima tumebaki na swali tunawapataje mbadala wao- yaani watu wasio wanasiasa wasimamie uchaguzi wa wanasiasa
Khaaaa yaani hili limekua gumu kwetu kama taifa? Watu zaidi ya 50mil tunakosaje wasio wapenzi wa vyama vya siasa wa wazi wazi?
 
Hayo uliyoandika ni yako....rudia kusikiliza vizuri.
Leo asubuhi Bob Chacha WANGE ameshiriki kipindi cha gumzo cha BBC. sehemu ya mazungumzo yao:-
Mtangazaji:- mtazamo wenu hamuwataki MADED wasimamie uchaguzi; je ni nani wawekwe badala yao na itumike njia ipi kuwapata?
Wangwe:- sisi lengo letu ni kupata katiba mpya.... mtandazaji anamkatiza
Mtangazaji:- Swali langu nataka utusaidie namna ya kuwapata watu wa kufanya kazi ambayo kwa sasa wanaifanya MADED
Wangwe: Tunao ushaidi na tumeutoa mahakama MADED ni makada wa CCM

Nani anaweza kumsaidia Wangwe kujibu swali hili
 
Kuna watumishi wa Umma. Ambao hawaruhusiwi kushiriki shughuli za kisiasa. Hawa ndio watumike. Pili NEC waanzishi. Chuo kutoa mafunzo, watu wagraduate. Ikifika wakati wa uchanguzi wacheki database na kuwapata kazi.
Tusiwe wavivu kufikiri.
 
Kuna watumishi wa Umma. Ambao hawaruhusiwi kushiriki shughuli za kisiasa. Hawa ndio watumike. Pili NEC waanzishi. Chuo kutoa mafunzo, watu wagraduate. Ikifika wakati wa uchanguzi wacheki database na kuwapata kazi.
Tusiwe wavivu kufikiri.
"mozeq,sasa hao graduate wa kusimamia uchaguzi tu siku zingine zisizo za uchaguzi watakuwa wanafanya nini?
 
Mkurugenzi wa NEC mwenyewe. Hapa tumekata matawi tu,steam na mizizi bado
To me ata kama mkurugenzi mkuu wa NEC akiwa kada wa CCM ila kama ili la wakurugenzi kutokuwa wasimamizi wa uchaguzi likifanikiwa na hatua walizotoa baadhi ya wachangiaji za kuwapata wasimamizi wa uchaguzi zikafatwa basi zaidi ya nusu ya wabunge wote watatoka upinzani na definitely spika atatoka upinzani kwahyo ata raisi akibaki Magu mziki atausoma kwelikweli.
 
1. Njia ya kuwapata ni kwamba watu wenye sifa waombe hizo nafasi kwenye Tume ya Uchaguzi, mchakato uwe wazi.

2. Makada watawekewa mapingamizi na watapigwa chini endapo itathibika kwamba aliyeomba ni kada wa chama fulani. Awe CHADEMA, CCM, ACT atapigwa chini kama itathibitika ni kada.

3. Majina yaliyopita yatawekwa wazi na watakuwa wasimamizi katika ngazi ya jimbo ambao nao watatumia mtindo huo huo kuwapata wasimamizi kwenye ngazi za Kata, kisha ngazi ya kituo.
kweli mkuu makada wanajulikana; wawe wa CCM wawe wa CDM - sisi tupo hizo nafasi NEC zileteni mnachelewa u uchaguzi unakaribia
 
Kwani nchi zingine nani anasimamia uchaguzi kwenye Ngazi kama za majimbo, maana huo wizi wa kura hauko nchi zote kuna baadhi ya nchi tu ndiko umeshamiri wizi. Kwanini tusijifunze kutoka kwa wenzetu nchi ambazo hatujasikia wizi wa kura. Kama Ghana wanafanya chaguzi zao vizuri tu ni nani anayesimamia kwenye majimbo.
 
Kwani nchi zingine nani anasimamia uchaguzi kwenye Ngazi kama za majimbo, maana huo wizi wa kura hauko nchi zote kuna baadhi ya nchi tu ndiko umeshamiri wizi. Kwanini tusijifunze kutoka kwa wenzetu nchi ambazo hatujasikia wizi wa kura. Kama Ghana wanafanya chaguzi zao vizuri tu ni nani anayesimamia kwenye majimbo.
"mhanila1, hakuna nchi iliyosalama kwenye suala la kukosa kuaminiana kunakojenga hoja za kuibiana kura
Democrats are trying to steal an election in Florida - hii ni marekani
 
1. Njia ya kuwapata ni kwamba watu wenye sifa waombe hizo nafasi kwenye Tume ya Uchaguzi, mchakato uwe wazi.
2. Makada watawekewa mapingamizi na watapigwa chini endapo itathibika kwamba aliyeomba ni kada wa chama fulani. Awe CHADEMA, CCM, ACT atapigwa chini kama itathibitika ni kada.
3. Majina yaliyopita yatawekwa wazi na watakuwa wasimamizi katika ngazi ya jimbo ambao nao watatumia mtindo huo huo kuwapata wasimamizi kwenye ngazi za Kata, kisha ngazi ya kituo.
Mtu anaweza asiwe kada rasmi wa chama fulani lakini bado akawa na mahaba mazito na chama hicho au mgombea. Mambo yatakuwa vile vile tu. Halafu, Rushwa sasa ndio itatembea maradufu hata awekwe nani.

Kuna tatizo kubwa sana. Haya tunayodili nayo ni matokeo tu. Uadilifu hausimamiwi na sheria bali ni zao la imani inayopandikizwa kwa mtu tangu akiwa mdogo kuhusu umuhimu wa kutenda haki.

Tuanzie nyumbani kuwajenga watoto wetu.
 
Kuna watumishi wa Umma. Ambao hawaruhusiwi kushiriki shughuli za kisiasa. Hawa ndio watumike. Pili NEC waanzishi. Chuo kutoa mafunzo, watu wagraduate. Ikifika wakati wa uchanguzi wacheki database na kuwapata kazi.
Tusiwe wavivu kufikiri.
kuna mtu wa kusomea mafunzo ya kusimamia uchaguzi tena kwenye chuo maalum haya ni maajabu ya karne...

Usimamiz wa chaguzi inaitaji training ya siku si zaidi ya 2..

Watumishi wa Mungu mapastor, mapadree masheikh walipaswa kuwa miongoni mwa wasimamizi wakuu hapa hakuna cha kupindisha kuraa
 
To me ata kama mkurugenzi mkuu wa NEC akiwa kada wa CCM ila kama ili la wakurugenzi kutokuwa wasimamizi wa uchaguzi likifanikiwa na hatua walizotoa baadhi ya wachangiaji za kuwapata wasimamizi wa uchaguzi zikafatwa basi zaidi ya nusu ya wabunge wote watatoka upinzani na definitely spika atatoka upinzani kwahyo ata raisi akibaki Magu mziki atausoma kwelikweli.
Kajifunze Zanzibar na Cheja wa Cheja,wakurugenzi makini walimpa matokeo yakamshinda yakatokea yaliyotokea
 
Leo asubuhi Bob Chacha WANGE ameshiriki kipindi cha gumzo cha BBC. sehemu ya mazungumzo yao:-
Mtangazaji:- mtazamo wenu hamuwataki MADED wasimamie uchaguzi; je ni nani wawekwe badala yao na itumike njia ipi kuwapata?
Wangwe:- sisi lengo letu ni kupata katiba mpya.... mtandazaji anamkatiza
Mtangazaji:- Swali langu nataka utusaidie namna ya kuwapata watu wa kufanya kazi ambayo kwa sasa wanaifanya MADED
Wangwe: Tunao ushaidi na tumeutoa mahakama MADED ni makada wa CCM

Nani anaweza kumsaidia Wangwe kujibu swali hili
Katiba ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania inasemaje??
 
Kajifunze Zanzibar na Cheja wa Cheja,wakurugenzi makini walimpa matokeo yakamshinda yakatokea yaliyotokea
Kwani matokeo ya ubunge yanatangazwa na mwenyekiti wa NEC? Kama wakurugenzi wa uchaguzi kila wilaya watakuwa sio ma DED amini na kwambia ata mwenyekiti wa Tume atashangaa robo tatu ya wabunge wote wateule wanatoka upinzani.
 
Leo asubuhi Bob Chacha WANGE ameshiriki kipindi cha gumzo cha BBC. sehemu ya mazungumzo yao:-
Mtangazaji:- mtazamo wenu hamuwataki MADED wasimamie uchaguzi; je ni nani wawekwe badala yao na itumike njia ipi kuwapata?
Wangwe:- sisi lengo letu ni kupata katiba mpya.... mtandazaji anamkatiza
Mtangazaji:- Swali langu nataka utusaidie namna ya kuwapata watu wa kufanya kazi ambayo kwa sasa wanaifanya MADED
Wangwe: Tunao ushaidi na tumeutoa mahakama MADED ni makada wa CCM

Nani anaweza kumsaidia Wangwe kujibu swali hili

Kila chama kiwe na wawakilishi wao katika kila kituo, kwa pamoja wahesabu na wakubaliane kutangaza mshindi halali au kupeleka matokeo halali katika sehemu husika.
 
Leo asubuhi Bob Chacha WANGE ameshiriki kipindi cha gumzo cha BBC. sehemu ya mazungumzo yao:-
Mtangazaji:- mtazamo wenu hamuwataki MADED wasimamie uchaguzi; je ni nani wawekwe badala yao na itumike njia ipi kuwapata?
Wangwe:- sisi lengo letu ni kupata katiba mpya.... mtandazaji anamkatiza
Mtangazaji:- Swali langu nataka utusaidie namna ya kuwapata watu wa kufanya kazi ambayo kwa sasa wanaifanya MADED
Wangwe: Tunao ushaidi na tumeutoa mahakama MADED ni makada wa CCM

Nani anaweza kumsaidia Wangwe kujibu swali hili
Waunganishe NEC na NIDA. Kwa sasa NIDA si wako mikoa yote ya Tanzania?
 
Vituoni,walimu wanafaa sana hawana tatizo na wala hawawezi kuhujumu kwa kuwa wanafanya mbele ya wawakilishi wa vyama vyote,kuhesabu na kutoa matokeo ya kituo,sasa baada ya hapo kufanya sum up ndo pale katani na wilayani ndo penye waleeee maded wenye mashati ya kijani.
 
Back
Top Bottom