BMW 3 Series 2005 Engine 1900cc Silver For Sale

BMW 3 Series 2005 Engine 1900cc Silver For Sale

Dah sikujua kama petrol cars zinakula mafuta kiasi hiki.
me natumia 1HZ Land cruiser GX (4164cc) kwa town trips inakula 1L/8km full ac na kwa safari mostly hua ni 1L/8.1Km sababu hua nakimbia sana hadi 150km/h
hivi huwa mnatumia njia gan kujua fuel consumption ya gar
 
hivi huwa mnatumia njia gan kujua fuel consumption ya gar
Acha mafuta yaishe andika pembeni kilometa za muda huo wa mafuta kwisha,weka lita zako utakazoweza,tembea tena mpaka yaishe then chukua kilometa za muda huo yalipoishia mafuta toa kilometa zile za kwanza,zitakazobaki yaani kilometre covered gawanya kwa lita ulizoweka ambazo ndo zimekwisha kwa wakati huo,namba utakayopata hiyo ndo fuel kilometre per litre
 
lkn consumption utakayopata itakuwa combined cndio ? sababu utakuwa umetembelea katika hal zote
 
Hio gari ni luxury brand hivyo limetengenezwa litumike na watu ambao wana class ya juu katika jamii ambao obviously hawana hela ya mawazo!
We kama mtu wa kuwaza litaenda kms ngapi kwa litre ni bora uachane nalo tu usije kufa kwa BP siku za usoni
 
Mkuu,
Hizi gari issue sio spares tena. Zipo na kama hazipo zinagizika bila matatizo. Matatizo yake mengi yanatabirika. Ikichomekwa kwa computer inakupa report ya kila kitu mpaka lini break zako zitakwisha baada ya km ngapi.

Mimi bahati nzuri nimebahatika kupata mtu mmoja fundi mhindi ana bei nzuri sana na amesomea kabisa haya mambo na ndio mtu peke anayeshika hiyo gari, nakuunganisha naye mnaendelea. Na mimi pia nitakupa support kila mara unapohitaji msaada. Na mimi nanunua ingine kama hiyo miaka ya karibuni.

Ni gari ambayo ukitunza na yenyewe itakutunza haswa.
Mkuu naomba namba ya huyo fundi wako
 
Mkuu niunganishe na huyo muhindi nina Mitsubishi GDI space wagon imekula miaka sita bila usumbufu nataka nikafanye service ya uhakika pamoja na engine overhaul.
Habari fundi ulimpata.? Nina gari mpya kabisa BMW nataka nijue service za uhakika ni wapi...
 
Back
Top Bottom