Magazetini
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 593
- 1,713
- Thread starter
- #21
Ipo Dar es SalaamGari ipo wap kwan
Ipo Dar es SalaamGari ipo wap kwan
Mkuu niunganishe na huyo muhindi nina Mitsubishi GDI space wagon imekula miaka sita bila usumbufu nataka nikafanye service ya uhakika pamoja na engine overhaul.Mkuu,
Hizi gari issue sio spares tena. Zipo na kama hazipo zinagizika bila matatizo. Matatizo yake mengi yanatabirika. Ikichomekwa kwa computer inakupa report ya kila kitu mpaka lini break zako zitakwisha baada ya km ngapi.
Mimi bahati nzuri nimebahatika kupata mtu mmoja fundi mhindi ana bei nzuri sana na amesomea kabisa haya mambo na ndio mtu peke anayeshika hiyo gari, nakuunganisha naye mnaendelea. Na mimi pia nitakupa support kila mara unapohitaji msaada. Na mimi nanunua ingine kama hiyo miaka ya karibuni.
Ni gari ambayo ukitunza na yenyewe itakutunza haswa.
Mkuu niunganishe na huyo muhindi nina Mitsubishi GDI space wagon imekula miaka sita bila usumbufu nataka nikafanye service ya uhakika pamoja na engine overhaul.
Hadi leo haijanunuliwa? Kweli chema chajiuza kibaya chajitembeza!
Kwa vile hatuna hela tu, sultani wa Brunei anazo hizi 160 peke ake, wewe ni nani useme sio chema, Na ukute ni mwenzangu na mm tz 11Hadi leo haijanunuliwa? Kweli chema chajiuza kibaya chajitembeza!
Vipi habari ndugu,hii gari bado hipo au umeshauza,?naomba mawasiliano kwa kutumia whatsapp Kama itawezekana ?
Mkuu gar yako inakulaje mafuta? Namaanisha inaenda km ngap kwa lt
Hii gari inakula mafuta
Siyo kwa ulaji wake. Litre 10/ km5 nasikiaUlitaka ile chips?
Siyo kwa ulaji wake. Litre 10/ km5 nasikia