Wadau Salaaam.
Baada ya Sifa kedekede humu jamvini kuhusu huduma za Mabasi ya BM nikiwa katika harakati zangu Jijini Dodoma nikajisemea ngoja nikamate BM BUS nishuke zangu Morogoro.
Huku na kule nikafika Ofisin kwao Pale Dodoma. Ofisi iko Kituo cha Mafuta, Kwanza Hakuna Viti vya Wateja kukaa kusubiri bus.
Lakini nikajisemea ngoja nifike Msalani kupata huduma.
Hakika Hawa BM BUS ni ama Menejimenti haijitambui au Mmiliki hana Exposure na Elimu ya Biashara ya kutosha.
Vyoo ni kama Jalala, nimefedheheka sana nguvu tunayotumia kupiga Promo za Utalii na madude kama ROYAL TOUR Halafu wenyewe walioshika Sekta Binafsi ndio hawa akina BM BUS.
Vyoo utadhan umeingia Jehanamu? Hakuna makopo ya kunawia, Tiles zina ukungu wa miaka kibao, Ndoo za Kunawia ni Madumu ya Oil yamekatwa just imagine LATRA mmeidhinisha hizi stendi Bubu pasipo kuweka Standards mwishowe tunazoa magonjwa.
Mamlaka zetu amkeni hii haikubaliki hata kidogo.
Picha zinajieleza
Baada ya Sifa kedekede humu jamvini kuhusu huduma za Mabasi ya BM nikiwa katika harakati zangu Jijini Dodoma nikajisemea ngoja nikamate BM BUS nishuke zangu Morogoro.
Huku na kule nikafika Ofisin kwao Pale Dodoma. Ofisi iko Kituo cha Mafuta, Kwanza Hakuna Viti vya Wateja kukaa kusubiri bus.
Lakini nikajisemea ngoja nifike Msalani kupata huduma.
Hakika Hawa BM BUS ni ama Menejimenti haijitambui au Mmiliki hana Exposure na Elimu ya Biashara ya kutosha.
Vyoo ni kama Jalala, nimefedheheka sana nguvu tunayotumia kupiga Promo za Utalii na madude kama ROYAL TOUR Halafu wenyewe walioshika Sekta Binafsi ndio hawa akina BM BUS.
Vyoo utadhan umeingia Jehanamu? Hakuna makopo ya kunawia, Tiles zina ukungu wa miaka kibao, Ndoo za Kunawia ni Madumu ya Oil yamekatwa just imagine LATRA mmeidhinisha hizi stendi Bubu pasipo kuweka Standards mwishowe tunazoa magonjwa.
Mamlaka zetu amkeni hii haikubaliki hata kidogo.
Picha zinajieleza