Ongeza sifa ingine umesahau huwa wana bahati mbaya ya kupatwa na magonjwa ya pressure,Moyo na hasa cardio pulmonary arrest yaani moyo kusimama ghalfa wakiwa kwenye advaced age.Ila ni kwa wale wenye AB+ Yaani Rhesus Macacus factor +ve kwa negative sina ushahidi kama umejifagilia basi msala huo mwingine hakuna kizuri kinachokosa kasoro