Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,836
Kama anaongea like Socrates huyu atakuwa yule binti anaetumia ID ya housegirl!Mimi nina experience tofauti aisee. Nilikutana na binti mmoja hapa hapa JF. Ni binti msomi na mwenye mtazamo mpana sana kuhusu maisha na masuala mbali mbali yanayohusiana nayo. Yaani mkikaa kuongea utafikiri unaongea na Socrates jinsi anavyopangilia hoja kulingana na mada. Mpaka leo nikiwa na jambo zito linalonitatiza ndiko ninakimbilia kuomba msaada wa kimawazo.
Physically pia binti yuko vizuri siwezi kulalamika na ni mtu wa gym sana - flexibility from yoga ile mbaya (if you know what I mean). Kwangu mimi sina cha kulalamika kwa kweli. Thanks JF!
Habarini sana wana Jf aka Gtz,
Moja kwa moja kwa mada,
Kwa upande wangu kila nikienda kwenye blind date na member wa Jf yani nakuta ni tofauti na expectations zangu, yani wengi wao hawalipi au jinsi changia yake kwa mada ni tofauti kabisa na mwonekano wake halisi, mwisho wa siku it does not work out . Nipeni mirejesho yenu ambao pia mlishawahi kwenda kwa blind date na mtu toka Jf.
Mimi nina experience tofauti aisee. Nilikutana na binti mmoja hapa hapa JF. Ni binti msomi na mwenye mtazamo mpana sana kuhusu maisha na masuala mbali mbali yanayohusiana nayo. Yaani mkikaa kuongea utafikiri unaongea na Socrates jinsi anavyopangilia hoja kulingana na mada. Mpaka leo nikiwa na jambo zito linalonitatiza ndiko ninakimbilia kuomba msaada wa kimawazo.
Physically pia binti yuko vizuri siwezi kulalamika na ni mtu wa gym sana - flexibility from yoga ile mbaya (if you know what I mean). Kwangu mimi sina cha kulalamika kwa kweli. Thanks JF!
Aaah latoya upo mama?? Vipi mtoto wako hajambo lakini?
Kama unaona noma nini kimekutuma ulete huu uzi kuwaumbua watu acha mambo ya primaryIDs noma mana ni vizuri kuzingatia privacy za watu kwani hata mawasiliano yalikuwa kwa PM tu
Uko interested sana na mada za mlengo huu.Kama anaongea like Socrates huyu atakuwa yule binti anaetumia ID ya housegirl!
Vipi jamaa alikula mzigo siku ile?[emoji3]Nipo
Hajambo,sijui wewe
Vipi jamaa alikula mzigo siku ile?[emoji3]
Mkuu nilichojifunza ni kwamba mtu unaweza kujifunza tabia za mtu na kumuelewa kwa undani kupitia JF bila hata ya kuonana au kukutana nae!!!...... Unaweza kujifunza na kuelewa tabia za mtu kama vile tabia za uchepukaji,umbea, kupenda mapenzi ya fedha,utapeli,mtu huwa anafanya nini huko PM,dharau, kujali wengine, umri wa mtu, shughuli ya mtu, jinsia,lengo la mtu JF na tabia nyingine za kibinadamu kwa kuangalia huwa anaadika thread za aina gani, huwa anachangiaje na nini kwenye thread za watu, huwa anareact vipi mtu akimuuzi, huwa anareact vipi akisifiwa,huwa anachangia katika mood gani, huwa anaamini nini kwenye maswala mbalimbali, msimamo wake ni upi kwenye mambo fulani fulani,huwa anapenda kuchangia thread za aina gani, huwa anapenda kuchangia thread za akina nani e.t.c!!Uko interested sana na mada za mlengo huu.
Jamani kwani blind date ndo nini?Habarini sana wana Jf aka Gtz,
Moja kwa moja kwa mada,
Kwa upande wangu kila nikienda kwenye blind date na member wa Jf yani nakuta ni tofauti na expectations zangu, yani wengi wao hawalipi au jinsi changia yake kwa mada ni tofauti kabisa na mwonekano wake halisi, mwisho wa siku it does not work out . Nipeni mirejesho yenu ambao pia mlishawahi kwenda kwa blind date na mtu toka Jf.
term za wazungu sana hizi..ni ki outing ambacho hujawahi kuonana na mtu ata mara moja, ndo first time yenu..unaweza kuta ni marafiki zenu wame wa set for a date, au mmekutana mtandaoni..ili mradi muwe hamjawahi kuonana na ni mara ya kwanzaJamani kwani blind date ndo nini?
OK..ahsante mkuuterm za wazungu sana hizi..ni ki outing ambacho hujawahi kuonana na mtu ata mara moja, ndo first time yenu..unaweza kuta ni marafiki zenu wame wa set for a date, au mmekutana mtandaoni..ili mradi muwe hamjawahi kuonana na ni mara ya kwanza