meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,349
- 4,674
- Thread starter
-
- #21
huyu meningitis nafikiri ni mmoja wa aidha recent graduates au mtu ambaye hajawahi ajiriwa serikalini katika wizara ya afya. naamini haujui utendaji kazi wa huyu mama, kwa taarifa yako na wengineo huyu mama ni miongoni mwa best PS MOH has ever had in the recent years. amejitahidi kuweka mambo mengi sawa wizarani, ukiritimba umepungua na kazi nyingi ziko safi, ila naamini mapungufu yapo kwa kila mtu ila huyu mama wengi tunapenda abaki wizarani kwa taarifa yako
anatakiwa atambue kuwa mwishoni mwa mwaka jana zoezi kama hili lilifanyika, waajiriwa walikuwa posted,lakini kwa bahati mbaya, kuna watu wizarani walighushi saini ya katib mkuu mama nyoni na wakawapangia watu vituo vya kazi kwenye wilaya mbalimbali. kwa taarifa yako, mama nyoni alipojua hivi alikasirika sana na kuna watu pale wizarani wanachunguzwa juu ya sakata hilo, sasa wewe unataka leo akurupuke tu kupanga watu ilhali kuna wasiomtakia mema na kughushi saini yake?
jengine zamani watu walikuwa posted hovyohovyo, matokeo yake watu wakawa hawaendi kwenye zile wilaya na mikoa waliyopangiwa,hivyo wizara mwaka huu imewaambie muindicate halmashauri tatu mnazopenda kufanya kazi, sasa wewe unatakiwa ujue mahitaji ya watumishi katika kila halmashauri hayafanani, wengine wanahitajika sana na wengine wanahitaji wachache katika kada fulani kwa hiyo zoezi lazima liendeshwe kwa umakini, msije mkajikuta kila anayeomba mnapeleka kanda flani tu,
pia usisahau kuna wilaya zingine hazikupeleka vibali vya maombi ya kazi wizarani, kwa hiyo wewe mathalani ni medical doctor AU NURSE MWENYE DEGREE AU NI PHARMACIST unaomba nafasi wilaya ya korogwe lakini iwapo korogwe haikupeleka maombi wizarani kuwa inamhitaji MD AU RN mwenye degree au pharmacist bali inawataka CO au AMO au nurse mwenye diploma au pharmaceutical technician tu unafikiri nani atakupeleka wewe MD , BSCN au PHARMACIST kwenye wilaya hiyo? Ninachomaanisha usifikiri sometimes kuwa wilaya fulani ina uhaba wa wafanyakazi na ukaanza kulaumu wizara haipeleki watu kule, bali tatizo linaweza kuwa kwenye wilaya ileile kwani makatibu wa afya wanaweza wasipeleke maombi ipasavyo ya ikama ya watumishi wizarani au kada flani flani wasiziombe,
so unatakiwa uelewe mambo badala ya kuwa mtu wa kukurupukarupuka wala huelewi ishu za kiserikali
It seems una ugomvi binafsi na huyu Mama:hungry:
bila shaka wewe ni yule mmama mbaya asiyefaa, aliyekuwa waziri wa maliasili na utalii katika selikali iliyopita...kwasababu wewe ndo ulikuwa adui yake mkubwa mnagombania cheo/uwaziri. kwa kifupi, brandina nyoni ni bora mara mia kuliko wewe shamsia..nani sijui jina lako...hata kama kwasasa umekosa ubunge na unalialia kuomba kikwete akupe uwaziri tena....mwaka huu haupiti tena..umekwisha habari yako.
kuna mama mmoja yule aliyekuwa waziri wa maliasili na utalii akaboronga, ndio anamchafulia sana huyu Blandina nyoni kila eneo...wanatafutana sana...huyu waziri mstaafu anaona mwenzie anamzidi kete na anataka kuchukua nafasi yake. mpuuuzeni huyu waziri wa maliasili na utalii.kazi yake tunaifahamu ilivyoborongwa ktik utalii wa tz..hakuna kilichoongezeka tz kwa uwepo wake zaidi ya kwenda kuzikaripia hotel huko manyara na arusha.
ndugu yangu FM nashawishika kusema kuwa hoja yako imetawaliwa na nadharia zaidi kuliko uhalisia wa mambo.sina chuki yoyote dhidi ya mama nyoni.but ukweli ni kwamba yapo mambo mengi hayaendi sawa pale wizarani ambayo sitaki kuyataja kwa leo ila if you push me nitayaweka hadharani!naona umetoa data ambazo haziwezi kuaminika kwa sababu ukiulizia wizarani utaambiwa barua ziko kwa katibu mkuu zinasainiwa(kuanzia october 10....)ukiuliza ni lini mataraio ya kupata barua utaambiwa pitapita posta(kweli kwa technolojia tuliyonayo bado tunategemea kupitapita posta? kwa miezi sita ijayo!).idadi unayoisema ya watu waliopangiwa sijui umeitoa wapi,kwani hata website ya wizara haiwezi kuithibitisha(haina hizo data zako).kwa Tanzania ya sasa hatuhitaji kumpa moyo mtu bali tunatakiwa kutoa challenge especially tunapozungumzia swala la afya ya mtanzania.kwa kuwa inawezakana upo hapo wizarani basi tusaidie mchanganuo wa kushughulikia hizo barua,je ni wa kikanda,kimikoa,kiprofession,kindugu au ni first come first served.
Nilikuwa najaribu kukusaidia tu ndugu yangu kwa kile ninacho kifahamu kwa uhakika. Takwimu nilizokupa nilizipata kwa watu wanaohusika na zoezi la posting. Kutokuwepo kwenye website ya wizara hakuondoi ukweli wa hili. Usitake kutuaminisha kwamba takwimu zinazopatikana kwenye mitandao ndo sahihi. Kwamba barua zinatumwa kwa posta sioni shida iko wapi, kama waombaji walitumia anuani zao za posta kuwasilisha maombi yao wajibiwe kwa utaratibu upi?. Ni vema kwamba una access na mawasiliano ya mtandao lakini usidhani kwamba waombaji wote wanabahati hiyo. Hapa naomba uelewe kwamba sipingi umhimu wa kuweka taarifa hizo kwenye mtandao. Meningitis kama kweli huwa unasikia sikia achilia mbali kusomea masuala ya menejimenti ungeelewa kwa urahisi sana maana ya kuwapa moyo (encourage) wafanyakazi. Kutoa challenge hakupingwi ila kuna utaratibu wake. Kama unajua mambo ambayo hayaendi sawa hapo wizarani, kwa kukaa nayo moyoni unamsaidia nani?ndugu yangu FM nashawishika kusema kuwa hoja yako imetawaliwa na nadharia zaidi kuliko uhalisia wa mambo.sina chuki yoyote dhidi ya mama nyoni.but ukweli ni kwamba yapo mambo mengi hayaendi sawa pale wizarani ambayo sitaki kuyataja kwa leo ila if you push me nitayaweka hadharani!naona umetoa data ambazo haziwezi kuaminika kwa sababu ukiulizia wizarani utaambiwa barua ziko kwa katibu mkuu zinasainiwa(kuanzia october 10....)ukiuliza ni lini mataraio ya kupata barua utaambiwa pitapita posta(kweli kwa technolojia tuliyonayo bado tunategemea kupitapita posta? kwa miezi sita ijayo!).idadi unayoisema ya watu waliopangiwa sijui umeitoa wapi,kwani hata website ya wizara haiwezi kuithibitisha(haina hizo data zako).kwa Tanzania ya sasa hatuhitaji kumpa moyo mtu bali tunatakiwa kutoa challenge especially tunapozungumzia swala la afya ya mtanzania.kwa kuwa inawezakana upo hapo wizarani basi tusaidie mchanganuo wa kushughulikia hizo barua,je ni wa kikanda,kimikoa,kiprofession,kindugu au ni first come first served.
baba enoc unamaanisha kuwa blandina amepewa hongo au ana shares na hiyo soft-teck?Uadilifu wa Blandina Nyoni ni upi?
Alipokuwa Hazina aliingia "UBIA" na wahindi wa "SoftTec" na kuwapa tenda ya kusambaza "mifumo" ya Computer mpaka kwenye Halmashauri - Sina uhakika kama huu "mradi" bado upo "hai"! As it stands though, bado yupo kwenye payroll ya "SoftTec" .
Ni mla rushwa MKUBWA kama watendaji wakuu wa Serikalini - Hii inayosemwa kuwa nis "sharp", it is purely a cover-up!
Sasa kama fungu la mishahara halijatengwa atoe ajira tuu? Kila kitu ni mpango, huenda kama mishahara haikuwa kwenye bajeti wakafanya bajeti review kwenye Bunge la January 2011
bila shaka wewe ni yule mmama mbaya asiyefaa, aliyekuwa waziri wa maliasili na utalii katika selikali iliyopita...kwasababu wewe ndo ulikuwa adui yake mkubwa mnagombania cheo/uwaziri. kwa kifupi, brandina nyoni ni bora mara mia kuliko wewe shamsia..nani sijui jina lako...hata kama kwasasa umekosa ubunge na unalialia kuomba kikwete akupe uwaziri tena....mwaka huu haupiti tena..umekwisha habari yako.
.......
For those puzzled as to why she is so hated here is a few thing she has done so far,
-misusing donors funds forcing them to accept to whatever "use of funds" bullshit she brings to them-just ask UNICEF about this lady
-she has consistently,purposely forced directors to agree to her re-allocating funds planned for various purposes to be used by her personal ambitious projects,just ask them how much she spent on sabasaba/nane nane.
-she controls ALL the funds in the ministry,everything has to go through HER.here is where she makes allies and foes.
-she ordered uniforms for drivers worth 250,000 each!!and instead of using the public procurement policies set by the government,she purposely chose MARIEDO as the only source of uniforms.
-she often hire private buses out of the blue to be used by the ministry,NO TO is involved,and no public procurement is done.