M Mpalakugenda JF-Expert Member Jun 2, 2015 2,130 1,371 Feb 26, 2017 #81 Naamini hata mie siku nikiteuliwa,kuna uzi wangu utafukuliwa. This is JF,no stone will remain unturned.
Naamini hata mie siku nikiteuliwa,kuna uzi wangu utafukuliwa. This is JF,no stone will remain unturned.
realoctopus JF-Expert Member May 11, 2014 3,232 1,981 Feb 26, 2017 #82 Hivi,faru john 2012 alikuwa hajajiunga na JF?
B blasted masawe JF-Expert Member Dec 22, 2016 340 282 Feb 26, 2017 #83 Mnajua wanajf Mheshimiwa anafanya teuzi hizi za mafisadi Ili kuwakomoa wapinzani bila kujali adhari yeye anaona dawa ya kuwakomesha ni hiyo.
Mnajua wanajf Mheshimiwa anafanya teuzi hizi za mafisadi Ili kuwakomoa wapinzani bila kujali adhari yeye anaona dawa ya kuwakomesha ni hiyo.