Sina maelezo marefu katika suala hadi pale nitakapopata gazeti la DIRA ambalo limekuja na habari kwamba Blandina Nyoni ambae alitimuliwa Wizara ya Afya hivi sasa ni mmoja wa Makamishina wa Mamlaka ya Mapato Tanzania huku mshahara wake kwa mwezi ni zaidi ya sh. milioni kumi!
Source: Gazeti la DIRA!
Source: Gazeti la DIRA!