Blackberry wametisha sana kwenye BlackBerry 10 OS 10.3.1

shaurimbaya

JF-Expert Member
Oct 3, 2013
1,915
2,325
Habari wadau.

Ni vizuri tungepeana maujanja wadau wanaotumia BlackBerry 10 phones hasa kwenye hii update yao mpya walioitoa feb 2015.

Binafsi najiona kama nimenunua simu mpya kwa jinsi my BlackBerry Z30 ilivyobadilika kwenye softwares kila app imekuwa zaidi ya mpya kwangu.

Kiukweli BlackBerry wamenifurahisha sana na hasa airtel kwa kuruhusu update mpema wakati mitandao mingine mikubwa majuu kama verizon,Telus, rutgers canada bado wanalalamikiwa na watumiaji wa BlackBerry majuu ( source malalaniko ya fans kwenye crackberry website) huko kwa kuchelewa kuruhusu update watu waanze download.

BlackBerry fan boys and fan girls njooni nipeni maujanja wa ujio mpya wa BlackBerry 2015 kwa kuzipa uhai kwa os mpya simu zetu za zaman like z10, z30, q10, q5 etc
 
Hata sikuelewi unasema nini maana uwezo wangu tecno mwisho 150,000/-
 
Blackberry uzuri wake ni kulinda privancy mambo mengine inaboa.
 
Nazumgumzia ya zamani ilikuwa hairihusu calls kwenye viber,vipi hizo mpya!

BlackBerry za kisasa zipo tofauti na za zaman. zimebadilishwa kila kitu. zinatuhusu hata ku install android app za kwenye playstore.. wamefuta ujinga wa kulipia BlackBerry service data.

Siku hizi ni bundle za kawaida tu na mambo mengine mengi matam matam.
 
BlackBerry za kisasa zipo tofauti na za zaman. zimebadilishwa kila kitu. zinatuhusu hata ku install android app za kwenye playstore.. wamefuta ujinga wa kulipia BlackBerry service data. siku hizi ni bundle za kawaida tu na mambo mengine mengi matam matam

Hapo sawa,zamani zilikuwa zinakera sana
 
Ina bugs kibao unless ndio mara yako ya kwanza kutumia BlackBerry 10. eg camera is shaky

update iliyonifurahisha ni ya bbm, wameruhushu sharing of pictures kwenye groups kama ilivyo kwa whatsapp

pakua hapa: www.bbm.con/update
 
Nilikuwa nihamie iphone 6 baada ya kuupdate 10.3 software nimefutilia mbali na sidhani km ntachaana na blackberry.
 
Ina bugs kibao unless ndio mara yako ya kwanza kutumia BlackBerry 10. eg camera is shaky

update iliyonifurahisha ni ya bbm, wameruhushu sharing of pictures kwenye groups kama ilivyo kwa whatsapp

pakua hapa: www.bbm.con/update

tatizo hujanielewa vizuri.

mimi siongelei update za app ndogo ndogo.

BlackBerry kila baada ya mwaka mzima huwa wanafanya update moja kubwa ya os nzima.

wakati BlackBerry 10 ilivyokuwa introduced walianza na 10.1.1 na baada ya mwaka mmoja wakaiupdate na kuweka os 10.2.1 ( ambayo iliwekwa january mwaka jana) na baada ya mwaka mmoja kupita tena february mwaka huu 2015 wamei update tena os yao na kuiweka 10.3.1.. hii ni os nzima imebadilishwa kwa major update
 
Naomba unisaidie namna ya kufanya Update, ila mie nipo Vodacom, ninatumia z 10

tatizo hujanielewa vizuri.

mimi siongelei update za app ndogo ndogo.

BlackBerry kila baada ya mwaka mzima huwa wanafanya update moja kubwa ya os nzima.

wakati BlackBerry 10 ilivyokuwa introduced walianza na 10.1.1 na baada ya mwaka mmoja wakaiupdate na kuweka os 10.2.1 ( ambayo iliwekwa january mwaka jana) na baada ya mwaka mmoja kupita tena february mwaka huu 2015 wamei update tena os yao na kuiweka 10.3.1.. hii ni os nzima imebadilishwa kwa major update
 
Naomba unisaidie namna ya kufanya Update, ila mie nipo Vodacom, ninatumia z 10

Sijajua kuhusu vodacom kama wameruhusu. maana bila ruhusa ya carrier hii update haiwezi kufanyika ni kubwa 1.1GB, so weka data za kutosha za vodacom then ujaribu kuingia sehem ya setting option ya software update, na automatically utaiona na kuanza kufanya major update.

kama ukiona ingoma tumia wireless internet za ofisini, vyuoni, mitaani kufanya update through wireless
 
Wewe kwa Airtel uliweka Bundle yenye ukubwa gani? ili na mimi nifanye mchakato hapa

Sijajua kuhusu vodacom kama wameruhusu. maana bila ruhusa ya carrier hii update haiwezi kufanyika ni kubwa 1.1GB, so weka data za kutosha za vodacom then ujaribu kuingia sehem ya setting option ya software update, na automatically utaiona na kuanza kufanya major update.

kama ukiona ingoma tumia wireless internet za ofisini, vyuoni, mitaani kufanya update through wireless
 
Voda wako vizuri kwa Internet, hata ile furushi ya 1000 unlimited pr day will do. But incase you won't find the update option in the settings, you can download a 10.3.1 autoloader directly using a pc then install it into your phone, they say it's risky business but I did that for my z30 and have been using the os since last December
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom