Black women are sweet

Black women are sweet

Pole Mkuu ulifanya nini? Nimeona ulikuwa lupango kumbe kilikuwa kifungo kifupi.
Mkuu nikiingia jukwaa la siasa lazima nipigwe BAN kuna kipnd nilipigwa BAN ya cku 7 mara nyingi tu
 
Big up kwa mtoa Uzi...utafikiri alikuwa ktk kichwa changu..Jamani napenda wanawake weusi mpaka nahisi wameniloga.

Yani mwanamke mweusi ni ugonjwa wangu huo aisee..I love them black babies..
Ndo maana unampenda neiba eeh
 
wanaume haturidhiki ukiambiwa uoe mweusi unafumaniwa na mweupe ukiambuwa Joe mweupe unafumaniwa na mweusi tens beki tatu
 
wanaume haturidhiki ukiambiwa uoe mweusi unafumaniwa na mweupe ukiambuwa Joe mweupe unafumaniwa na mweusi tens beki tatu
Hamueleweki nyie. Mnataka kila mnachokiona mkione Na ndani kikoje
 
Utamu wa papuchi unategemea mtu na mtu na sio rangi na rangi....Serena, venus williams tuwaweke kundi la wanawake wenye rangi gani?
 
Back
Top Bottom