Black women are sweet

Black women are sweet

Basi mie nina bahati mbaya.
Japo wapo weusi wasioniridhisha, ila kwa idadi si sawa.
Sema nguvu za kiume ni majanga ktk nchi yetu.
Wanaume wa kitanzania wanapoteza mvuto kitandani aisee.
Hebu jaribu kunipm madam kama na kwangu utagundua hilo tatizo
 
Kabisaaa. Wangekua hawapendi kua weupe mikorogo ya kila namna isingekuwepo.

Hata umeme ukikatika mtu haonekani mpaka uwashe mkitorch maana unaweza kushikwa kichwa mtu akafikiri kashika kota. Wakati mweupe hata gizani unawaka aiseeee. Nashukuru kuzaliwa mweupeee
Tatizo watu mnachukulia mambo personal kupita kiasi.
 
Back
Top Bottom