Hahaha...weupe wa singida wapoje? Kama zeruzeru au?Inategemea na upoje ,,kuna wanaume weupe wazurii kweli,,kuna wale weupe wanaume wa singida hapana hao
Duh!Hakuna anaependa weusi watapata hasara
Kwahiyo wanaume wanapenda wanawake weupe ila hapa wanatupaka mafuta kwa mgongo wa chupa?Hahaaa. Huo usingepata watu aiseee. Unadhani nani angetaka kuwa cheusi dawa.
Hahahaaaa. Hawaeleweki hao mdogo wangu hivyo wala usiwafuatilie.Kwahiyo wanaume wanapenda wanawake weupe ila hapa wanatupaka mafuta kwa mgongo wa chupa?
Kwakweli mademu weupe mie ni wa kuonja tu.. Weusi ndo kila kitu.. Nadhani hata kuoa ntaoa mweuzi..!Waambie bana tulivyo na mnato na wa moto,,na mapaja yetu yanavyovutia
Unamaanisha vitu ninavyovipenda vinapoteaWanaweka weusi wanajichubua mno ,,weusi wanakuja kupotea hii dunia
Hahahaa. Hakuna wa kukumwagia maji ya moto mie dada yako nipo.Dadaaaaa usinifanyie hivyo tafadhali, Mwifwa ana mtu wake anamwandalia zawadi ya krismas ujue,unataka nimwagiwe maji ya moto?

Ndio maana mama yangu ananiambiaga wanaume ni waongo waongo. Ngoja nipambane na weusi wangu tuHahahaaaa. Hawaeleweki hao mdogo wangu hivyo wala usiwafuatilie.
Yaani wapo wapo tu.

Pambana nao mdogo wangu anaweza kupa sifa za dunia nzima we cheusi mangala ila mwisho wa siku akawa na mchepuko mweupe kama mzungu.Ndio maana mama yangu ananiambiaga wanaume ni waongo waongo. Ngoja nipambane na weusi wangu tu![]()
Bora nibaki na wewe tu.Hahahaa. Hakuna wa kukumwagia maji ya moto mie dada yako nipo.
Ila usiniambie sina habari ujue. Basi usijali sikugawi tena mdogo wangu tubaki tu.![]()

Hahahaaa. Ujue mdogo wangu mie nishakutoa kwenye kundi la washamba sasa ukiongea kwa sauti unantia aibu mie dada yako.Bora nibaki na wewe tu.
Natamani sana kukutembelea chumbani,ila bado sijaifahamu njia ya kunileta kwako![]()
Ni kweli kabisa, maana kuna wamama wanawapaka mkorogo watoto wao tangu wakiwa wadogo.Wanaweka weusi wanajichubua mno ,,weusi wanakuja kupotea hii dunia
Hahahaaa. Ujue mdogo wangu mie nishakutoa kwenye kundi la washamba sasa ukiongea kwa sauti unantia aibu mie dada yako.
Ngoja basi nije mwaya. Hahahahaaaaa.

Frankly speaking...sipendi mwanaume mweupe!![]()
![]()
![]()
Mwanaume mweupe to me X
Nyie hamna kitu, show nzima unaropoka ropoka Na mbio huna, dakika tu uko hoiDada mi mwarabu tena sio toleo lile la mwisho ni ojii kabisa!njoo nikupige popo kanyea mbingu hadi ukimbie uwanja
Nyie hamna kitu, show nzima unaropoka ropoka Na mbio huna, dakika tu uko hoiDada mi mwarabu tena sio toleo lile la mwisho ni ojii kabisa!njoo nikupige popo kanyea mbingu hadi ukimbie uwanja