Mkuu, kwanza jifunze the how to's za JF. Ili next time usitupotoshe kwa kuiweka hii kama News Alert wakati sivyo. Next, kuna search box ipo, na unaweza kuweka keywords tofauti tofauti ili kuona kama utapata unachohitaji. Tatu, usiwe mvivu. Nne, yangu ni hayo, subiri waelimishaji waje.