naona tbc wanasheherekea miaka 3 yao leo-huku wakionyesha changamoto zinazowakabili-
imenisikitisha kuona wanasoma habari kwa kutumia tochi ya simu-ina maana hata generator za kukaa muda mrefu hawana-majengo baadhi hayana AC/FANS
naona tbc wanasheherekea miaka 3 yao leo-huku wakionyesha changamoto zinazowakabili-
imenisikitisha kuona wanasoma habari kwa kutumia tochi ya simu-ina maana hata generator za kukaa muda mrefu hawana-majengo baadhi hayana AC/FANS