denim kagaika
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 228
- 31
Nashukuru kwa hii miaka 50 ya uhuru kwani imeleta baraka ya umeme na mgao wa mara kwa mara umepotea.
Kama vipi Tanzania uwe kama wanachuo ambao husogeza birthday zao ili na wao wafanye sherehe na kupata michango kabla ya likizo hazijatibua mipango.
Mpendwa Tanzania naomba uzaliwe kila siku kwa kuwa najua watatuonea aibu hata huku pande za MBAGALA.
Masikini watanzania tunaanza kwa malalamiko makubwa lakini baada ya muda mfupi tunazikubali shida na kuona ni sehemu ya kawaida ya maisha.
Hbd Tanzania..
Kama vipi Tanzania uwe kama wanachuo ambao husogeza birthday zao ili na wao wafanye sherehe na kupata michango kabla ya likizo hazijatibua mipango.
Mpendwa Tanzania naomba uzaliwe kila siku kwa kuwa najua watatuonea aibu hata huku pande za MBAGALA.
Masikini watanzania tunaanza kwa malalamiko makubwa lakini baada ya muda mfupi tunazikubali shida na kuona ni sehemu ya kawaida ya maisha.
Hbd Tanzania..