Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,720
- 218,268
Hahaahahah namwona na Mzee maguHii ndio tafsiri halisi ya Dunia Tambara bovu , Miaka yote ambayo Paulo Makonda amekuwa RC , siku kama ya leo ambayo ni siku yake ya kuzaliwa , vyombo mbalimbali vya habari , yakiwemo magazeti , redio na Channel za Tv ikiwemo WASAFI TV , ilikuwa hapatoshi , shangwe za birthday yake zilivuma siku nzima , waliacha kumuita jina lake , wakati huo akaitwa Baba Keegan .
Sasa leo baada ya madaraka kwisha , CHAWA WOTE WAMEPUKUTIKA utadhani wamepuliziwa Diazon , ile dawa kongwe ya kunguni ! ama hakika dunia duara kubwa sana . Hakuna cha Insta wala Twitter
HAPPY BIRTHDAY BABA KEEGAN
View attachment 2120368
Hali ni tete kwa Bashite.Hii ndio tafsiri halisi ya Dunia Tambara bovu , Miaka yote ambayo Paulo Makonda amekuwa RC , siku kama ya leo ambayo ni siku yake ya kuzaliwa , vyombo mbalimbali vya habari , yakiwemo magazeti , redio na Channel za Tv ikiwemo WASAFI TV , ilikuwa hapatoshi , shangwe za birthday yake zilivuma siku nzima , waliacha kumuita jina lake , wakati huo akaitwa Baba Keegan .
Sasa leo baada ya madaraka kwisha , CHAWA WOTE WAMEPUKUTIKA utadhani wamepuliziwa Diazon , ile dawa kongwe ya kunguni ! ama hakika dunia duara kubwa sana . Hakuna cha Insta wala Twitter
HAPPY BIRTHDAY BABA KEEGAN
View attachment 2120368
Yaani weweHii ndio tafsiri halisi ya Dunia Tambara bovu , Miaka yote ambayo Paulo Makonda amekuwa RC , siku kama ya leo ambayo ni siku yake ya kuzaliwa , vyombo mbalimbali vya habari , yakiwemo magazeti , redio na Channel za Tv ikiwemo WASAFI TV , ilikuwa hapatoshi , shangwe za birthday yake zilivuma siku nzima , waliacha kumuita jina lake , wakati huo akaitwa Baba Keegan .
Sasa leo baada ya madaraka kwisha , CHAWA WOTE WAMEPUKUTIKA utadhani wamepuliziwa Diazon , ile dawa kongwe ya kunguni ! ama hakika dunia duara kubwa sana . Hakuna cha Insta wala Twitter
HAPPY BIRTHDAY BABA KEEGAN
View attachment 2120368
Wanasemaga kwamba " be kind to people on your way up, you might meet them on your way down "!! Sasa kama aliweza kudhalilisha wazee wenye umri mkubwa kama au kuliko baba yake hapo makosa ni ya nani ?? What goes around comes around !! Avumilie tu na afanye toba!!Kwani hujui maisha wewe? yani nd tulivyo binadamu ata wewe leo ukianguka nd ivyo hautaona chochote juu yako na rafiki zako hutawaona kwahiyo amna cha ajabu apo mkuu muda ushaongea na daudi a.k.a bashite muda wake umepita anaganga yajayo Mkuu
Hiyo kawaida ukiwa na k2 utakuwa na marafiki kama wote cku v2 vkiisha ukigeuka nyuma humuoni hata m1.nikawaida kwenye maisha ukiwa na hela au nafasi kuzungukwa na watu na wote hao hutoweka ukiwa huna kila kitu....
Nimegusia nyanja nyingine kwa mawanda mepesi na ulichogusia ni kingine Mkuu sijui kama umegundua iloWanasemaga kwamba " be kind to people on your way up, you might meet them on your way down "!! Sasa kama aliweza kudhalilisha wazee wenye umri mkubwa kama au kuliko baba yake hapo makosa ni ya nani ?? What goes around comes around !! Avumilie tu na afanye toba!!
ngoja tuulizeHuyo kwenye picha ndiyo mtaalam wake wa maswala ya tamaduni?
Kapost yupo mbugani anakula bataHii ndio tafsiri halisi ya Dunia Tambara bovu , Miaka yote ambayo Paulo Makonda amekuwa RC , siku kama ya leo ambayo ni siku yake ya kuzaliwa , vyombo mbalimbali vya habari , yakiwemo magazeti , redio na Channel za Tv ikiwemo WASAFI TV , ilikuwa hapatoshi , shangwe za birthday yake zilivuma siku nzima , waliacha kumuita jina lake , wakati huo akaitwa Baba Keegan .
Sasa leo baada ya madaraka kwisha , CHAWA WOTE WAMEPUKUTIKA utadhani wamepuliziwa Diazon , ile dawa kongwe ya kunguni ! ama hakika dunia duara kubwa sana . Hakuna cha Insta wala Twitter
HAPPY BIRTHDAY BABA KEEGAN
View attachment 2120368