kasome hiyo ina watu wachache sana so pesa nje nje, hiyo cjui civil mpelekee magufuli
Tatizo BEE haina degree Tanzania, hata pale pale DIT wanapotoa hiyo diploma, so fikiri mara mbili.habari watanzania.nmechaguliwa coz tajwa hapo juu,pale dit,diploma.ila kuna ndugu huku ananishaur nikabadlshe na kusoma civil.anasema hailipi.kwa wanaoifaham vp soko lake?inalipa au nichanje mbuga?
Kwahyo mantiki yako ni nini hapa ?Anaweza kupiga hiyo akaajiliwa sekta ya afya serikalini then degree akasomea kozi ya afya pale muhas
Hebu mpe kwanza na wapi anaweza kuajiriwa au kujiajirikasome hiyo ina watu wachache sana so pesa nje nje, hiyo cjui civil mpelekee magufuli
Umenielewa nilichoandika au.umekurupuka rudia kusoma post ya mleta mada halafu usome ya nilichoandikaKwahyo mantiki yako ni nini hapa ?
mbona ni hoja isiyo na mshiko tukitumia mawazo chanya ?

Nenda hiyo kozi IPO poa mwanawane vinginevyo soma structure engineering kuhusu civil usisomehabari watanzania.nmechaguliwa coz tajwa hapo juu,pale dit,diploma.ila kuna ndugu huku ananishaur nikabadlshe na kusoma civil.anasema hailipi.kwa wanaoifaham vp soko lake?inalipa au nichanje mbuga?
Degree wanatoa kwa east africa makerere uganda pia pale uganda kuna kyambogo university wanatoa diploma 2yearsTatizo BEE haina degree Tanzania, hata pale pale DIT wanapotoa hiyo diploma, so fikiri mara mbili.