BIOGRAPH ya Don Nalimison katika Picha.


Sawa. Ujumbe watafanyia kazi Serikali gandamizi.
 
Don kwenye video yako kuna mdada anakata viuno hatari,una namba yake?
 
faida za kuwa Genius hizi simshangai,

Ila umepewa ustaarabu unajibu mtu vizuri ata kama ametukana, Pongezi sana DON wa nyagezi
 
Jf tuna matajiri wawili tu..
  1. Kiduku lilo
  2. Don Nalimison (Jack of all trade )
Don Nalimison A former teacher,Musician,politician, Human Rights Defendant,Comedian and other blah blah blah... Kiduku ajipange soon atakua #1

Kama sikosei kuna post nliona kiduku anasema anakaa tabata hakai masaki na anatafuta a average low key woman awe mke na sio tena wale high profiled rich independent woman aliokuwa anawadate na kuwanunulia high end designer cloth...kiduku lilo is definately #2.
 
Don I salute you
Sorry for misunderstanding,
you will have definitely made a very good and interesting teacher to listen to and learn from if you were living in ....
Samahani huku nyumbani hawatakuelewa lakini kumbuka "vita mbele"
 
Don I salute you
Sorry for misunderstanding,
you will have definitely made a very good and interesting teacher to listen to and learn from if you were living in ....
Samahani huku nyumbani hawatakuelewa lakini kumbuka "vita mbele"

Uko sawa lakini mzikii wangu sio wa kuishia TZ naangalia level za Kimataifa zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…