Biochemist J.Watson na Bw.Lowassa!

Biochemist J.Watson na Bw.Lowassa!

Barbarosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
22,584
Reaction score
27,837
Kama Bw.Lowasa akifanikiwa kweli kukisambaratisha Chama na nchi kwa ujumla basi nitaamini kabisa ile Imani iliyojengwa na Dunia nje ya Bara la Afrika ya kwamba sisi watu wa Afrika (kusini mwa Sahara) tuna IQ ndogo sana kulingansiha na wengine .

(rejea maneno ya J.Watson Biochemist) kwa maana ukimuangalia Bw.Lowasa huyu ni simple mind tu, amesomea sanaa Chuo kikuu cha DSM na vikozi vya kuunga unga huko Uingereza hivyo anawezaje hata kuwa na uwezo wa kuitetemesha nchi wakati hata hayupo kwenye madaraka (kama ni kweli yanayosemwa kama siyo propaganda tu)?

Nasubiri kwa hamu hili linalosemwa kutokea, bado siamini ya kwamba mtu mmoja Bw.lowasa anaweza kuiangusha hii nchi, nchi iliyotoka mbali na kufika mbali kwamba inaweza tu kuja kutetemeshwa na mwana sanaa mmoja kutoka Kishumundu, kama Lowassa angekuwa A.Babu hapo ningeelewa au Salim A.Salim au hata Kambona (,,Apumzike kwa Amani")
 
Kupitia wewe tu haina haja ya kumsubiria Lowasa maana umeshaakisi yote ya James Watson kuhusu mtu mweusi.
 
Ndio maana Dr Slaa baada ya kufanya kautafiti kadogo cha wakereketwa wake aliona bora awape ahadi ya gongo kuwa free kama maji ili asiwapoteze.
 
Mawazo mgando kama mtindi. Kwako wewe ulitaka atikise kama Profesa Kapuya au Magembe wenye utitiri wa vyeti ndio uone sawa?
Kaangalie huko ulaya viongozi walio tikisa nchi zao walikuwa na elimu ipi ya kutisha
 
Ccm mnamuogopa sana lowassa subiri aje awarejebiahe kidogo maana habari mjini sa hivi ni lowassa
 
Moi aliikamata Kenya kwa miaka ishirini na ushee wakati ni darasa la nane.
Idd Amin aliikamata Uganda hata darasa la tatu hakufika
Kabila wa DRC alisomea Mbeya Lutengano akafeli mtihani wa NACTE
Sheikh Karume hakua na degree achilia mbali ya usanii
Jacob Zuma anayetawala uchumi mkubwa Afrika ni drs la nne. Nchi yake ni ya kwanza kufanya heart transplant duniani.
Muamar Ghadafi aliyewaletea wananchi wake maendeleo makubwa mpaka nyumba, matibabu na elimu bure alisoma chuo gani ?
John Major aliyekua Pinda wa uingereza juzi juzi hapa hakua na degree achilia mbali na ya usanii. Uingereza ni nchi ya dunia ya kwanza.
Mijitu mingine inasoma kijitabu kimoja cha Shigongo inajiona imesoma. BURE KABISA
 
Mleta mada ni mpuuzi kama unaamini katika elimu kwenye kuongoza basi wewe ndo wa Karne ya tatu, Unaijua Elimu Ya Kagame wewe, Unafahamu Jacob Zuma hajawahi kwenda shule.

Idiot.
 
Uyo jk mwenye uprofesa wa kichina ametufanyia nin na ahadi zake za uongo?
 
Ngoja kwanza! Lowasa anaenda kuiangusha nchi au anaenda kuiangusha C.C.M?
 
Mleta mada pumbafu mjinga mkubwa wewe,mnaweweseka nini? Kaeni na huyo mgonjwa wenu mahututi ccm anayesubiri kufariki muda wowote ili mumuuguze na sijui mmeshachimba kaburi lake majuha nyie.
 
Wewe unamuonea wivu Lowassa unaposema hajasoma kama Magufuli. Lazima uikumbuke Kampuchea ya Pol Pot njisi wasomi walivyokua endangered species.
 
Ungesema basi we una umri gani ili tujue elimu yako na mazingira yako hasa umri umefika wapi ukilinganisha na yeye na umri wake ...maana kama ana umri wa mzee wako mjomba wao au shangazi basi fanya tuwajue ili na watu walinganishe Elimu zao na Edo.
 
Kama Bw.Lowasa akifanikiwa kweli kukisambaratisha Chama na nchi kwa ujumla basi nitaamini kabisa ile Imani iliyojengwa na Dunia nje ya Bara la Afrika ya kwamba sisi watu wa Afrika (kusini mwa Sahara) tuna IQ ndogo sana kulingansiha na wengine .

(rejea maneno ya J.Watson Biochemist) kwa maana ukimuangalia Bw.Lowasa huyu ni simple mind tu, amesomea sanaa Chuo kikuu cha DSM na vikozi vya kuunga unga huko Uingereza hivyo anawezaje hata kuwa na uwezo wa kuitetemesha nchi wakati hata hayupo kwenye madaraka (kama ni kweli yanayosemwa kama siyo propaganda tu)?

Nasubiri kwa hamu hili linalosemwa kutokea, bado siamini ya kwamba mtu mmoja Bw.lowasa anaweza kuiangusha hii nchi, nchi iliyotoka mbali na kufika mbali kwamba inaweza tu kuja kutetemeshwa na mwana sanaa mmoja kutoka Kishumundu, kama Lowassa angekuwa A.Babu hapo ningeelewa au Salim A.Salim au hata Kambona (,,Apumzike kwa Amani")


Nan kasema lowasa anaangusha nchi?Lengo lke yy ni kua raisi tu,hayo ya kuangusha nchi ni yko wewe .
 
Kama Bw.Lowasa akifanikiwa kweli kukisambaratisha Chama na nchi kwa ujumla basi nitaamini kabisa ile Imani iliyojengwa na Dunia nje ya Bara la Afrika ya kwamba sisi watu wa Afrika (kusini mwa Sahara) tuna IQ ndogo sana kulingansiha na wengine .

(rejea maneno ya J.Watson Biochemist) kwa maana ukimuangalia Bw.Lowasa huyu ni simple mind tu, amesomea sanaa Chuo kikuu cha DSM na vikozi vya kuunga unga huko Uingereza hivyo anawezaje hata kuwa na uwezo wa kuitetemesha nchi wakati hata hayupo kwenye madaraka (kama ni kweli yanayosemwa kama siyo propaganda tu)?

Nasubiri kwa hamu hili linalosemwa kutokea, bado siamini ya kwamba mtu mmoja Bw.lowasa anaweza kuiangusha hii nchi, nchi iliyotoka mbali na kufika mbali kwamba inaweza tu kuja kutetemeshwa na mwana sanaa mmoja kutoka Kishumundu, kama Lowassa angekuwa A.Babu hapo ningeelewa au Salim A.Salim au hata Kambona (,,Apumzike kwa Amani")

Mkubwa mimi nakuunga mkono ila kwani kishumundu imetoka wapi au Lowasa ni mkishumundu if so do mean Kishumundu
ndio..........
 
Mkuu Barbarosa, hata uazishe thread mia zenye ujumbe uleule, utapata majibu yaleyale maana tunaosoma ni walewale, hujaenda platform nyingine. Mwacheni Lowassa afanye anachoona ni sahihi kwake, alimradi havunji sheria.
 
Last edited by a moderator:
Moi aliikamata Kenya kwa miaka ishirini na ushee wakati ni darasa la nane.
Idd Amin aliikamata Uganda hata darasa la tatu hakufika
Kabila wa DRC alisomea Mbeya Lutengano akafeli mtihani wa NACTE
Sheikh Karume hakua na degree achilia mbali ya usanii
Jacob Zuma anayetawala uchumi mkubwa Afrika ni drs la nne. Nchi yake ni ya kwanza kufanya heart transplant duniani.
Muamar Ghadafi aliyewaletea wananchi wake maendeleo makubwa mpaka nyumba, matibabu na elimu bure alisoma chuo gani ?
John Major aliyekua Pinda wa uingereza juzi juzi hapa hakua na degree achilia mbali na ya usanii. Uingereza ni nchi ya dunia ya kwanza.
Mijitu mingine inasoma kijitabu kimoja cha Shigongo inajiona imesoma. BURE KABISA

well labda ile falsafa ya "akili ndogo kuongoza kubwa" ime- expire, Mchungaji Msigwa upooo????
 
Back
Top Bottom