Binti amka acha huzunika,
Binti amka acha sikitika,
Binti amka jikaze anza mwendo,
Binti u mrembo na bado wang`araaaa!!!!
Kama uko shule.... kitabuni juhudi ongeza,
Kama mwajiriwa hakikisha cheo umepanda,
Kama biashara ongea vizuri na wateja,
Kamwe usikubali mtu akukatishe tamaa!
Unadiriki kusema huwezi ishi bila yeye,
Miaka iliyopita hukumjua ni nani yeye,
Mbona uliishi na umekuwa mkubwa sasa,
Iweje akuzuge ili maisha yakuchanganye???? Wewee...(am warning you)
Binti mara siku zote ni shujaa,
Kila ufanyalo maishani utafanikiwa....(yeah..penye nia pana njia)
Achana na majungu usisikie wasemayo,
Piga moyo konde mwisho wa safari utafika....(kuwa na subira...one day yes!)
*** MAISHA HAYATAKI PAPARA, TULIA UJUE NINI CHA KUFANYA...NA NINI CHA KUACHA***
Dedication to all ladies out there......especially MABINTI.
......be strong....be happy!!
Kipipi