Binti...........

shkamoo babu! Kwanza hayo mashairi unaenda kuwatungia wapi, muda gani na wapo wajukuu wangapi na wenye umri gani? Chance ya kupewa ruhusa itategemea na majibu ya hayo maswali.


Wajukuuu si ni hawa hawa akina Hus, Kipipi na n.k, n.k

Kwani umri wa mjukuu ni tatizo?

Bibi si anajua tu kwamba, kwa idhini ya mila za Mababu na Bibi, ni lazima Babu acheze na wajukuu?

Sasa unadhani ruhusa atatoa? If not, lile zoezi pendwa la AshaDii watalifanya akina nani??

Babu DC!!
 

mmmh! Wajukuu kama ni husninyo na kipipi bibi atakubali. Wakiongezeka kina golden mpoleee bibi lazima atataka akusindikize au akatae kabisa usije
 
Kumbe uko fiti kwenye tungo eee. Hongera sana
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…